Elections 2010 Dr Slaa Tusikilize popote ulipo

Elections 2010 Dr Slaa Tusikilize popote ulipo

MchunguZI

JF-Expert Member
Joined
Jun 14, 2008
Posts
4,011
Reaction score
2,185
Mod. nisamehe nahisi kama Rais Slaa au wana CHADEMA walio karibu naye kila siku, wanaweza wasipate ujumbe huu kama nitaandika kwenye thrd nyingine.

Mkuu wetu, tafadhari kuhusu kujibu maswali 'live' ni hatari kwako. Tatizo siyo wananchi wema wanaotaka kukusikia au kuelewa utakakotupeleka. Tatizo liko kwa waharibifu.

Amini usiamini, sasa hivi kuna kila juhudi za kuonyesha kwamba hufai. Yatakupata yale ya Vurugu za Kenya baada ya uchaguzi, kipindi ambacho watu walipiga simu ktk FM radio na kutukana na kutoa maoni ya kuuwa.

Uelewa wa wananchi tunatofautiana, wengine wataamini utakayoambiwa vibaya na wengine watadhalau. Ni vibaya kuwapa wabaya wako muda wa kubishana nao kwenye chombo cha habari.

Kubali kuhojiwa na waandishi wa habari hata kama watakusanya maswali toka kwa wananchi na kuyachuja.
 
Shaka ondoa, Dr slaa ni doctor wa ukweli; wajaribu atawaumbua tu. Siyo mwoga.
 
Mtu mchafu always hujificha gizani na mtu safi hukaa kwenye mwanga uchafu wowote utakaloletwa kwenye mwanga(live) kwa nia ya kumchafua utaonekana wazi na watu watamjua mchafu ni nani.
 
Do not worry subiri uamini a Phd holder katika panel. Hapa ndipo hao unaowahofia watapata ufahamu. Pia kumbuka ana clean political slate and a record of achievements ambazo ndio mvuto wa wananchi at least mimi. Pia itakuwa vizuri akionyesha weaknesses kwani yeye ni mwanadamu tu anaemtegemea Mungu wenye hekima watazigeuza ziwe strengths.

Nampenda Slaa na Chadema kwa mtazamo wao wa maendeleo wa kitaifa tofauti na offer za kiupendeleo kwa wenye influence kuhamisha bajeti za serkali kwa ubinafsi. Pia naamini atatoa mchango mkubwa akiwa raisi angalau wa mabadiliko ambayo yanahitajika sasa na siyo baadae
 
Yeahn ni hatari lakini ndio uwajibikaji huo cha msingi angalia je advantages outweigh disadvantages kwa ushiriki wako ktk mdahalo
 
Nafurahi kwa tahadhari yako,pamoja na kwamba yuko makini inabidi awe makini zaidi kwa sasa kwa kweli
 
If u want to measure wisdom of a person,give him/her a chance to speak,right time for slaa to seak in the media,ifanywe kwa kikwete na wengineo pia ili wapiga kura wawajue,najua chama kizee hawawezi kumpeleka mgombea wao mbele ya media house yoyote,i know he is allegic to media house discussions
 
Mimi nakubaliana na wewe kama Dr ataenda mwenyewe,kuna sum ishuz real kama watambambikia na itakuwa massacre kwake na chadema asipoangalia vizuri..watanzania watapata mwanya wa kumuona na kumjaji yeye kama yeye lakini si kumlinganisha na fulani..so mimi nadhani ni heri hata kama JK hatakuwepo basi atafutwe Lipumba,Mziray,Rungwe etc na wao wawepo.asiwe yeye peke yake..! Hii itasaidia kuziba vacuum ambayo inaweza kujitokeza kutokana na yeye kuwepo mwenyewe,though i believe kama hakutakuwa na 'watumwa' ili kumvunja moyo,hakika ile siku itakuwa ni ya thamani kama dhahabu kwani atafikia millions of voters at one time....Go My President
 
Kama hao wengine hawataki, tuwalazimishe?
 
Back
Top Bottom