Kwamba, kwa kuwa Dr. Sulle kagundua kuwa Wamasai walioandamana Ngorongoro si Watanzania bali ni Wakenya wenye nia mbaya dhidi ya Tanganyika, inaonesha ya kwamba yeye yupo makini zaidi kuzidi vyombo vyetu vya dola.
Kama ndivyo, ni vizuri akakabidhiwa Wizara ya Mambo ya Ndani pamoja na ukuu wa usalama wa Taifa na TAMISEMI pia.
Yeye akiwa "bosi" wa TAMISEMI, UHAMIAJI, POLISI, na USALAMA WA TAIFA, hayo makosa ya wageni kuingia nchini kwetu kinyemela na kuhudumiwa kwa kodi za Watanganyika kwa miaka mingi bila kujulikana kuwa ni raia wa kigeni wenye nia mbaya na nchi yetu hayatajirudia!
Kwamba, kwa kuwa Dr. Sulle kagundua kuwa Wamasai walioandamana Ngorongoro si Watanzania bali ni Wakenya wenye nia mbaya dhidi ya Tanganyika, inaonesha ya kwamba yeye yupo makini zaidi kuzidi vyombo vyetu vya dola.
Kama ndivyo, ni vizuri akakabidhiwa Wizara ya Mambo ya Ndani pamoja na ukuu wa usalama wa Taifa na TAMISEMI pia.
Yeye akiwa "bosi" wa TAMISEMI, UHAMIAJI, POLISI, na USALAMA WA TAIFA, hayo makosa ya wageni kuingia nchini kwetu kinyemela na kuhudumiwa kwa kodi za Watanganyika kwa miaka mingi bila kujulikana kuwa ni raia wa kigeni wenye nia mbaya na nchi yetu hayatajirudia!
Toka lini mtu mjinga asiye na elimu ya aina yoyote akaongoza kama wizara? Wizara gani inayoongozwa na udokta wa kumiliki majini?
Msituchoshe na hawa wasiojitambua. Wanaganga njaa kama wengine
Kwamba, kwa kuwa Dr. Sulle kagundua kuwa Wamasai walioandamana Ngorongoro si Watanzania bali ni Wakenya wenye nia mbaya dhidi ya Tanganyika, inaonesha ya kwamba yeye yupo makini zaidi kuzidi vyombo vyetu vya dola.
Kama ndivyo, ni vizuri akakabidhiwa Wizara ya Mambo ya Ndani pamoja na ukuu wa usalama wa Taifa na TAMISEMI pia.
Yeye akiwa "bosi" wa TAMISEMI, UHAMIAJI, POLISI, na USALAMA WA TAIFA, hayo makosa ya wageni kuingia nchini kwetu kinyemela na kuhudumiwa kwa kodi za Watanganyika kwa miaka mingi bila kujulikana kuwa ni raia wa kigeni wenye nia mbaya na nchi yetu hayatajirudia!