Pre GE2025 Dr. Sulle akabidhiwe Wizara ya Mambo ya Ndani

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

GoldDhahabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2023
Posts
7,189
Reaction score
10,375
Kwamba, kwa kuwa Dr. Sulle kagundua kuwa Wamasai walioandamana Ngorongoro si Watanzania bali ni Wakenya wenye nia mbaya dhidi ya Tanganyika, inaonesha ya kwamba yeye yupo makini zaidi kuzidi vyombo vyetu vya dola.

Kama ndivyo, ni vizuri akakabidhiwa Wizara ya Mambo ya Ndani pamoja na ukuu wa usalama wa Taifa na TAMISEMI pia.

Soma Pia: Wamasai Ngorongoro wamechoka kunyang’anywa ardhi yao na kupewa Mwarabu, Wameamua liwalo na liwe

Yeye akiwa "bosi" wa TAMISEMI, UHAMIAJI, POLISI, na USALAMA WA TAIFA, hayo makosa ya wageni kuingia nchini kwetu kinyemela na kuhudumiwa kwa kodi za Watanganyika kwa miaka mingi bila kujulikana kuwa ni raia wa kigeni wenye nia mbaya na nchi yetu hayatajirudia!

Dr. Sulle akabidhiwe hizo idara haraka sana!

Your browser is not able to display this video.
 
ama kweli tutaendelea kulaumu kuwa umasikini wetu ulitokana na kuwa colonized kwa miaka mingine 1000 ijayo
 
Toka lini mtu mjinga asiye na elimu ya aina yoyote akaongoza kama wizara? Wizara gani inayoongozwa na udokta wa kumiliki majini?
Msituchoshe na hawa wasiojitambua. Wanaganga njaa kama wengine
 
Hakuna Wamasai kutoka Kenya jamani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…