M24 Headquarters-Kigali
JF-Expert Member
- Jul 9, 2012
- 8,199
- 8,186
Ukikabidhiwa Mamlaka kamili kama Mwenyekiti wa CHADEMA rudisha Ile misingi ya kudai Haki. Sio kuomba Haki kama alivyofanya mtangulizi wako.
NB: Mwenyekiti aliyepo kila mara analia Lia kama Kada wa CCM kumbe NI Mwenyekiti CHADEMA
NB: Mwenyekiti aliyepo kila mara analia Lia kama Kada wa CCM kumbe NI Mwenyekiti CHADEMA