Dr Tundu A Lissu rudisha misingi ya CHADEMA

Dr Tundu A Lissu rudisha misingi ya CHADEMA

Ukikabidhiwa Mamlaka kamili kama Mwenyekiti wa CHADEMA rudisha Ile misingi ya kudai Haki. Sio kuomba Haki kama alivyofanya mtangulizi wako
Mtasimama naye kwa vitendo akianza kuidai?
 
20241219_140130.jpg
 
Ukikabidhiwa Mamlaka kamili kama Mwenyekiti wa CHADEMA rudisha Ile misingi ya kudai Haki. Sio kuomba Haki kama alivyofanya mtangulizi wako.

NB: Mwenyekiti aliyepo mara kadhaa Amelia kama Kada wa CCM kumbe NI Mwenyekiti CHADEMA
Baada ya kuukosa umakamu mwenyekiti na uenyekiti wa Chadema Taifa,
Tundu Lisu huenda akawa mwenyekiti wa Chadema Diaspora na si vinginevyo 🐒
 
Back
Top Bottom