M24 Headquarters-Kigali
JF-Expert Member
- Jul 9, 2012
- 8,199
- 8,186
Mtasimama naye kwa vitendo akianza kuidai?Ukikabidhiwa Mamlaka kamili kama Mwenyekiti wa CHADEMA rudisha Ile misingi ya kudai Haki. Sio kuomba Haki kama alivyofanya mtangulizi wako
Kwa maumivu niliyopitia. Sina namnaMtasimama naye kwa vitendo akianza kuidai?
Ntobi ameahidiwa cheo cha mrema ili kuonfoa dhana ya uchagga
Jiandae na mapambano akishinda mkuu.Kwa maumivu niliyopitia. Sina namna
Baada ya kuukosa umakamu mwenyekiti na uenyekiti wa Chadema Taifa,Ukikabidhiwa Mamlaka kamili kama Mwenyekiti wa CHADEMA rudisha Ile misingi ya kudai Haki. Sio kuomba Haki kama alivyofanya mtangulizi wako.
NB: Mwenyekiti aliyepo mara kadhaa Amelia kama Kada wa CCM kumbe NI Mwenyekiti CHADEMA
Jambo ambalo CCM, Mbowe na wapambe wake hawataki litokee.Lissu anakwenda kuleta upinzani wa kweli
Pesa inatembea