Elections 2015 Dr. W. Slaa ni fisadi kuliko Lowassa

Una uhakika watakuelewa?
 
Reactions: nao

Pumbavu, na ndo maana mnaotwa malofa. Slaa ni mtu makini sana ndo maana baada kuona hilo jizi limeenda UKAWA, akaona ni upumbavu kukaa nae jiko moja akasepa zake.
Afu ulivo mpumbavu unaropoka eti lowassa ni mtu safi na sio fisadi, acha ulofa wwe. Au umetumwa?
 
Faiza Foxy nikuambie tena;
Maulid na futari za magogoni sahau;

Sema ya huko kwenu nyie mabingwa wa
kutukana, ya kwetu tuachie tuhangaike nayo.
 
Duh mbona nahisi maluweluwe hapa, toka lini faizafoxy ameachana na ccm na kuanza kumpenda Lowasa ambae tumeshudia mara nyingi akitukanwa nae!? Kuna mtu kaiba password yake!?
 
Duh mbona nahisi maluweluwe hapa, toka lini faizafoxy ameachana na ccm na kuanza kumpenda Lowasa ambae tumeshudia mara nyingi akitukanwa nae!? Kuna mtu kaiba password yake!?
Fikiri nje ya box bro utaekewa tu ukija kichwa kichwa ndio tunahesabu hivyo malofa na wapumbavu maana hawataelewa hapa
 
Dr.W.Slaa ni fisadi wa kutupwa ndio maana kafyata mkia na amewekwa chini ya ulinzi wa Josephine...!

Teh Teh
 
Last edited by a moderator:
karibu ukawa mwana Dada FaizaFoxy

Nulijua Bavicha na Bawacha hamto elewa hii mtaingia kichwa kichwa!

Though Dr Slaa ni fisadi ndio maana kajificha baada ya kupata habari asiyempenda kaja kwake!

Kama Dr.W.Slaa yeye si fisadi na ana amini Lowasa ndiye fisadi basi ajitokeze hadharani kusema ...n
 
Last edited by a moderator:
Taratibu mkuu, Dr.W.Slaa hajasepa atatoka hadharani muda muafaka utakapofika.

Tahadhari, kumuita lowasa jizi unaweza jikuta nyumbu wamekutoa macho.
 
Last edited by a moderator:
Hamna lolote wote mafirauni tu. wapumbavu na malofa wenye uchu wa madaraka
 
a very poor thread , asante sana jf kwa kuvumilia kila kitu .
 
duh..hata mimi naona fisadi wahed ni slaa na lipumba. wametimka kama panya kutoka ukawa baada ya mbowe kumleta mtu 'mwema wa mungu'. heko hamisi mgeja umetamka kwa lowassa 'nitakufuata popote uendapo hadi mwisho wa roho yangu' iwe kwenye daladala, sokoni tandale, pangoni etc.
 
acha kujifaragua kujifanya mwenda wazimu Dr Slaa hana shida na mashinikozo yenu ni baba wa mageuzi nchi hii mulidhani mukimprovoke angekuja kuropoka sio yule anamalezi yake na maadili kwa miaka mitano umekuwa ukimtukana kwa kila jina ulijualo na leo unajidai kusimpathise naye hana muda na watu wasiokuwa na mbele wala nyuma kama wewemleta mada
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…