Wadigo tunasema usinene ukamala wewe emelifanya hilo ona leo unapwata pwata maneno mkanganyo. Lowasa ni fisadi sawa tunamchagua huyu huyu kuliko hao mamia waliopo huko haturudi misri.
Watanzania umasikini upo vichwani.
Chama kina piga kelele miaka yote, fulani fisadi fulani fisadi, leo kakaribishwa na kupewa nafasi kugombea Urais na hao hao waliokuwa wanawaaminisha Watanzania kuwa huyo ni fisadi, sasa wamebadili nyimbo na si fisadi tena. Wanasema mfumo ndio "fisadi".
Na Watanzania wanakubali tu, sasa hapo kama si umasikini wa akili ni nini? Mkapa alilifanunuwa hilo kwa maneno mawili tu "wapumbavu, malofa". Nnakubaliana nae 100%.
Hivi huu umaskini wa watanzania umesababishwa na nani vile!?Huo ndiyo umasikini wa Watanzania. Sikushangai.
Hivi huu umaskini wa watanzania umesababishwa na nani vile!?
Pumbavu, na ndo maana mnaotwa malofa. Slaa ni mtu makini sana ndo maana baada kuona hilo jizi limeenda UKAWA, akaona ni upumbavu kukaa nae jiko moja akasepa zake.
Afu ulivo mpumbavu unaropoka eti lowassa ni mtu safi na sio fisadi, acha ulofa wwe. Au umetumwa?
Unasababishwa na upumbavu wako.
Leo yule tajiri anaekwambia anauchukia umasikini kaweka matangazo kila pahala anataka umchangie kwa njia yoyote, na wewe umo tu na umasikini wako unamchangia yeye. Halafu unauliza umasikini wako unasabishawa na nani?
Mimi nilifikiria yeye atakutowa kwenye umasikini? Kumbe? Anakuchangisha wewe umzidishie utajiri wake.
Hakika wajinga ndiyo waliwao.
Unasababishwa na upumbavu wako.
Leo yule tajiri anaekwambia anauchukia umasikini kaweka matangazo kila pahala anataka umchangie kwa njia yoyote, na wewe umo tu na umasikini wako unamchangia yeye. Halafu unauliza umasikini wako umesababishwa na nani?
Mimi nilifikiria yeye atakutowa kwenye umasikini? Kumbe? Anakuchangisha wewe umzidishie utajiri wake.
Hakika wajinga ndiyo waliwao.
Huo ndiyo umasikini wa Watanzania. Sikushangai.
Washatusema sisi malofa poa tu ngoja tutimize waliyo tunenea kuwa sisi ni malofa. Ccm miaka mingi sana sasa inatosha ngoja tubadilishe upepo kidogo. Ccm nyumbani hawa wakizungua tutawapga chini nao lakini kwa sasa ccm hapana
Safi sana....ingawa najua mishale ya mashambulizi itaelekezwa kwako..ila ujumbe umeufikisha vizuri kabisaHilo wala si uongo.
Slaa alikuwa anatuaminisha kuwa Lowassa ni fisadi.
Lakini leo nnaona Slaa kazimwa na Mwenyekiti Mbowe, hasikiki wala
Tujadili.
[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]Wayaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa