Aneel munawar
JF-Expert Member
- Aug 1, 2017
- 4,580
- 8,141
Ukitaka kuikariri cheza kwenye dalmax two players uku unafuatisha miguu yote kwenye videoKumbe inawezekana na mm ngoja niimeze watu wanaangaika na copy ila mm miguu mingi naichukua dalmax kopy za mabingwa nazichukua ili nipate kujua watu wanachezaje ila dalmax ndio mwalimu wangu hii copy ya mabano mm ninayo kitambo niliichukuwa kwa dalmax ila kuikariri kimbembe
ila dalmax ana miguu mengi kweliUkitaka kuikariri cheza kwenye dalmax two players uku unafuatisha miguu yote kwenye video
game ipo Leo mkuuSawa mkuu
game ya nanigame ipo Leo mkuu
muashiSisco na ronaldogame ya nani
Ngoma hii imekuaje?Sisco na ronaldo
Game ya kumi na moja 1-1..ngoma za kawaidaUpdate ya game? Siku mfike viwango vya kulive stream. Au hata kuweka game youtube. Itakuwa mzuka sana
Ngoma hii imekuaje?
Mangwelele alishauriwa na madaktari aache draft lakini
Duuuhh hapa mwishoni🙌🙌🤣🤣🤣duh!
hiyo copy ni noma.
na mimi kwenye pitapita nimekutana na hii (ANGALIA VIDEO niliyoattach)
Hapa balaa timu CR7 tupoJAVA LOUNGE
SISCO 1, DILIMA 1
NGOMA 14 ZIMEKAMILIKA OMARI JOHN[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91] ,,,
Sisco kafa na taa ya treni aliyoanza yeye,,,na Dilima kafa na kavimba aliyoanza yeye[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91] ukumbi ni tulivu kabisa
Huyu dogo akifika miaka 35 atakuwa bingwa hapo si atakuwa na miaka kama 25
aisee pagumuSisco na ronaldo
Mshkaji ana mikwara eti kavua na shati kabisa
Mi piaHapa balaa timu CR7 tupo