ilala yetu
JF-Expert Member
- Apr 10, 2015
- 1,451
- 2,348
Hakuna mcheza madraft asojulikana..huyo msomali wa Arusha anajulikana vizuri Sana alishawai kua bingwa wa arusha.We utakuwa labda unamsemea Msomali mwingine feki na sio huyo
Huyu naekwambia ukitoa sare anakupa 5,000/= na ukimfunga anakupa mkono na 10,000/=
Jamaa anajua huu mchezo
YahManyanya ndio wanapaita draft college
kweli kila mchezo una lugha yake...MATOKEO
MKULIMA vs SISCO
Michezo: Walitakiwa kucheza michezo 24- Yaani Omary John na tege kumi ,,, Lakini michezo iliyochezwa ni 15 tu Yaani Omary John na Tege moja ya Mzee Ngapu
MATOKEO: Mkulima 2, Sisco 0,,
Sisco amekuja kufa goli la kwanza kwenye Omary John ngoma ya 14 ambayo Sisco alianza Pasati na amekuja kufa Tege ya kwanza ambayo Mkulima ndie aliecheza tege na hapo ndipo Dogo Sisco alipotupa taulo na kulala Mbele
Naomba kuwasilisha,,,,,,
Sijaelewa Maelezo.MATOKEO
MKULIMA vs SISCO
Michezo: Walitakiwa kucheza michezo 24- Yaani Omary John na tege kumi ,,, Lakini michezo iliyochezwa ni 15 tu Yaani Omary John na Tege moja ya Mzee Ngapu
MATOKEO: Mkulima 2, Sisco 0,,
Sisco amekuja kufa goli la kwanza kwenye Omary John ngoma ya 14 ambayo Sisco alianza Pasati na amekuja kufa Tege ya kwanza ambayo Mkulima ndie aliecheza tege na hapo ndipo Dogo Sisco alipotupa taulo na kulala Mbele
Naomba kuwasilisha,,,,,,
Niliishia game ya 11 nikaona kumekuwa usiku sanaMATOKEO
MKULIMA vs SISCO
Michezo: Walitakiwa kucheza michezo 24- Yaani Omary John na tege kumi ,,, Lakini michezo iliyochezwa ni 15 tu Yaani Omary John na Tege moja ya Mzee Ngapu
MATOKEO: Mkulima 2, Sisco 0,,
Sisco amekuja kufa goli la kwanza kwenye Omary John ngoma ya 14 ambayo Sisco alianza Pasati na amekuja kufa Tege ya kwanza ambayo Mkulima ndie aliecheza tege na hapo ndipo Dogo Sisco alipotupa taulo na kulala Mbele
Naomba kuwasilisha,,,,,,
Ukiona hivo huu mchezo sio hobi yako
Ni kwa vile hufatilii madraftWatu hawalali kisa alfu sitini juu ya matumizi mazito ya ubongo, hongera yao ila waongezeni dau vinginevyo bora yaanzishwe mashindano ya kunywa k.vant.
SISCO ALIPIGWA 2-0Niliishia game ya 11 nikaona kumekuwa usiku sana
Game ya 10 Mkulima alisukuma kete moja halafu akala nyoya kama dakika 5 hivi akarejea
View attachment 2467630
Nimeinjoy sana, kuna mabingwa wa vijiweni nao niliwaona kwenye comment box
Kwa hiyo Mkulima kachukua tuzo ya ushindi au mkataba wake ulikuwaje?
Fainal zote kafa Nduli 1-0Ni kwa vile hufatilii madraft
Ila Juzi Sisco ndani ya Siku 2 kachukua mataji mawili yote kala Kama 800k
Ndipo mzee Java akatoa ofa azuie sare kwa MKULIMA
tuliopo kwenye Grupu la Draft Tz tunayajua haya
Wacheza Draft kwasasa wale Wazuri kwa Mwez anaingiza had million 3
Kadau kalikuwa kadogo japo ni kweli kwa sasa sifuatilii.Ni kwa vile hufatilii madraft
Ila Juzi Sisco ndani ya Siku 2 kachukua mataji mawili yote kala Kama 800k
Ndipo mzee Java akatoa ofa azuie sare kwa MKULIMA
tuliopo kwenye Grupu la Draft Tz tunayajua haya
Wacheza Draft kwasasa wale Wazuri kwa Mwez anaingiza had million 3
KUNA MECHI HII ,ILA RONALDO anakimbia Sana Sisco,Niliishia game ya 11 nikaona kumekuwa usiku sana
Game ya 10 Mkulima alisukuma kete moja halafu akala nyoya kama dakika 5 hivi akarejea
View attachment 2467630
Nimeinjoy sana, kuna mabingwa wa vijiweni nao niliwaona kwenye comment box
Kwa hiyo Mkulima kachukua tuzo ya ushindi au mkataba wake ulikuwaje?
Sisco alikua anazidiwa 1M na FeisalNi kwa vile hufatilii madraft
Ila Juzi Sisco ndani ya Siku 2 kachukua mataji mawili yote kala Kama 800k
Ndipo mzee Java akatoa ofa azuie sare kwa MKULIMA
tuliopo kwenye Grupu la Draft Tz tunayajua haya
Wacheza Draft kwasasa wale Wazuri kwa Mwez anaingiza had million 3
[emoji1787][emoji1787] dahSisco alikua anazidiwa 1M na Feisal
Na hapo bado hujapiga hesabu baada ya kodi ya TRA wanayokata
Kwa hiyo mkuu ndio kusema saizi bingwa wa draft bongo ni Sisco?KUNA MECHI HII ,ILA RONALDO anakimbia Sana Sisco,
Taarifa Kutoka Java Lounge ( BOSS JAVA )
SISCO vs CR7( Mnyama )
DAU : 250,000/=( Ipo mezani )
Tajiri aliejipatia umaarufu kutokana na makombe yake ya kitaifa maarufu kama JAVA CUP amejitokeza hadharani na kuweka dau mezani au kitita cha shilingi laki 2 na hamsini kwa pambano la Sisco na Cr7,,
Pia Boss Java ameenda mbali zaidi na kusema aliyaweka mabao kando ila Sisco amemfurahisha na hadi ameamua kurudisha udhamini mezani,,
Kutokana na Hayo yamefanyika mawasiliano na Dogo Sisco na Sisco amesema yeye muda wowote na saa yoyote yupo teyar kupambana na Dilima hata ikiwa kesho asubuh baada ya kupiga na mkulima yeye anachoangalia ni ela na aangalii mtu usoni.
Jitihada za kumtafuta Cr7 ( Mnyama ) zinaendelea na pia tunaomba akiweza kupatikana au menejiment yake ( Jay juve ) wathibitishe hadharani Boss Java ametoa siku 3 za kuthibitisha, baada ya hapo Ngoma ichezwe,,,
Naomba kuwasilisha,,,,,,
Tuambie muda sisi wadu tutacheki[emoji1787][emoji1787] dah
Oya Kuna Game ya NOEL VS MKULIMA
INAWEZA KU HAPPEN
[emoji91][emoji91][emoji91] EXCLUSIVE [emoji91][emoji91][emoji91]Sisco alikua anazidiwa 1M na Feisal
Na hapo bado hujapiga hesabu baada ya kodi ya TRA wanayokata
MDA: Saa 4 usiku leo.ZAWADI: 60K tsh ( Noel azuie sare ngoma 24)UNAPOLIZUNGUMZIA DRAFT UNAMZUNGUMZIA MKULIMA [emoji89].... NAJUA NI KASHFA KWENU KUSHINDWA KUZUIA SARE KATIKA MICHEZO 24 LAKINI SINA NAMNA YA KUWASAIDIA LAZMA NIWAPITISHE KWENYE TANULI LA MOTO ILI MKOMAE [emoji89]