Mkulima apewe maua yakeInasemekana baada ya kufungwa 1-0 na mkulima kati ya michezo 2, Sisco akakimbia mpambano
Ganja ni dawamkulima apewe maua yake
Kwenye utafutaji wangu natumia nguvu na akili nyingi kwa hiyo baada ya mihangaiko yangu weed inakuwa ni faraja na tulizo kwangu kwa ajili ya kesho yangu ngumu.
JAVA LOUNGE STADIUM [emoji2522]
BIG MATCH BIG MATCH BIG MATCH BIG MATCH
NOEL NAMALOE vs CR 7 THE SCIENTIST
Mdhamini; DANY DENYO(MDHAMINI NUMBER 1 TANZANIA)
CAMERA MAN: MKOREA
KAMISAA : CHANDE
MICHEZO : OJ + TEGE 10
KOMBE [emoji471]: 1,000,000(Winner 800,000 loser 200,000)
MATCH UPDATE
NOEL NAMALOE 0 vs CR 7 THE SCIENTIST 3
Michezo Iliyochezwa
CR 7 Vs. NOEL
13.Mabano[emoji3514] 10.Mabano[emoji3514]
3.Meja[emoji3514] 14.Meja[emoji3514]
5.Nugza[emoji3514] 2.Nugza[emoji3514]
9.Passati[emoji3514] 4.Passati[emoji3514]
1.Tege[emoji3514] 12Tege[emoji3514]
11.Tatren[emoji3514] 8.Tatren[emoji460] Cr 7
7.Kavimba[emoji3514] 6.Kavimba[emoji460]Cr 7
OJ IMEISHAAAAA
BREAK DK 15
MFUMO WA TEGE KUMI
Noel. Vs. CR 7
1.Tege[emoji460]cr7. 2.Tege[emoji3514]
3.Tege[emoji3514] 4.Passati[emoji3514]
5.Tege[emoji3514]. 6.Tege[emoji3514]
7.Meja[emoji3514]. 8.Tege[emoji3514]
9.Meja[emoji3514]. 10.Tege[emoji3514]
FULL TIME
FULL TIME
Ronaldo alitoka 1-1 pale sinza mori na mzee mmoja anajiita kibabu, huyo mzee hajui copy, hajawahi cheza mashindano makubwa ya draft, Ronaldo aliliwa elf 70 basi freshni ya mda kidgo nmeamua niilete umu jamvini..muone ronaldo hajaisha kabisa
kuwa na jina kubwa kitaifa siyo kwamba ndiyo unajua sana. kuna bingwa na jina lake kubwa alienda kijiwe cha Chang'ombe Gwasa Dodoma. alipigwa 6-0 na mtu wa kawaida tu.Ronaldo alitoka 1-1 pale sinza mori na mzee mmoja anajiita kibabu, huyo mzee hajui copy, hajawahi cheza mashindano makubwa ya draft, Ronaldo aliliwa elf 70 basi fresh
Ronaldo alitoka 1-1 pale sinza mori na mzee mmoja anajiita kibabu, huyo mzee hajui copy, hajawahi cheza mashindano makubwa ya draft, Ronaldo aliliwa elf 70 basi fresh
Messi na Ronaldo unafikiri walikuwa wanajua mpira kuliko wachezaji wote duniani?kuwa na jina kubwa kitaifa siyo kwamba ndiyo unajua sana. kuna bingwa na jina lake kubwa alienda kijiwe cha Chang'ombe Gwasa Dodoma. alipigwa 6-0 na mtu wa kawaida tu.
Kwan kaka kujuwa copy nd kujuwa draft?? Draft hesab kaka copy zinakurahisishia kupiga hesabu tuRonaldo alitoka 1-1 pale sinza mori na mzee mmoja anajiita kibabu, huyo mzee hajui copy, hajawahi cheza mashindano makubwa ya draft, Ronaldo aliliwa elf 70 basi fresh
Wachache sana wanaolielewa hiliMessi na Ronaldo unafikiri walikuwa wanajua mpira kuliko wachezaji wote duniani?
Ni basi tu 'Dunia' iliwachagua wao
hii game imepigwa liniREMATCH
DOGO SISCO VS CR7
RESULTS
DOGO SISCO 2 vs CR7 0
Sisco ni mkubwa sana sana🫡🫡
Jumapili Java lounge kitunda,Ronaldo kafa mbili .
[emoji23][emoji23][emoji23] watu walichanga nauli Arusha pale stadium kuja kucheck hili pambano pamoja na la Sisco vs RonaldoJumapili Java lounge kitunda,Ronaldo kafa mbili .
Kuna Mzee pia anaitwa Mzee Rama wa Kilimanjaro, huyo pekee ndio alitoa sare 2 na MsomaliRonaldo alitoka 1-1 pale sinza mori na mzee mmoja anajiita kibabu, huyo mzee hajui copy, hajawahi cheza mashindano makubwa ya draft, Ronaldo aliliwa elf 70 basi fresh