RATIBA RASMI YA MASHINDANO YA DRAFTI KITAIFA IMESHATOKA.
YATAANZA RASMI TAREHE 30 AGOSTI 2023 HADI 01 SEPTEMBA 2023.
MASHINDANO YA KUMTAFUTA BINGWA WA DRAFT TANZANIA 2023
WASHIRIKI
KUNDI A
Sisco
Gaby
Monster
Dogo shuku
Ngapulila
KUNDI B
Dilima
Digi Digi
Aradini
Dogo yassin
Matongo
KUNDI C
Noel
Mwasapile
Mbeya city
Dogo janja
Mawazo
KUNDI D
Mamba
Keny hisabati
Nungwi
Gaidi
Hemed Arusha
KUNDI E
Rama Arusha
Dany Mbeya
Dogo Athuman
Kwata mwivi
Lissu
KUNDI F
kiwembe
Stive Mbeya
Dogo Hans
Rama singida
Dogo Ally
KUNDI G
Simba Dom
Shaban Mbeya
John kipaji
Kili mnyama
Zaidi
KUNDI H
Nduli
Babu songea
Amani Siri
Hussein tanga
Kavimba
16 BORA
A1 vs E2
D1 vs. H2
B1 vs. F2
C1 vs G2
E1 vs A2
H1 vs D2
F1 vs B2
G1 vs C2
Robo fainali
Mshindi 1 vs 2
Mshindi 3 vs 4
Mshindi 5 vs 6
Mshindi 7 vs 8
Nusu fainali
R1 vs R2
R3 vs R4
Mshindi wa 3
Fainali
Zawadi
1. 2,000,000/=
2. 1,000,000
3. 500,000
MATANGAZO ( Watarusha wenyeji wa Mbeya )
WARATIBU
1. Adamu wa Goba
2. Dullah Mabao
3. Zaidi
4. Mtemi
5. Eng kitova
6. Mohamed Ismail
7. Paul Jackson
SHERIA ZA MASHINDANO KUMTAFUTA BINGWA WA DRAFT TANZANIA 2023.
1. Kufikiria sekunde 60 + Kumi za kuesabu baada ya hapo kamisaa atavuruga bao na kumpa mpinzani ushindi
2. Ikitokea umeshangilia hadi bao kuvurugika basi kamisaa atamkabidhi ushindi mpinzani wako.
3. Mchezo ukishaanza lazima uishe kwanza ndo ruhusa ya kwenda chooni itatolewa.
4. Hairuhusiwi kutumia simu wakati mchezo unaendelea.
5.Mwenye kingi moja anamamlaka ya kumvalisha mwenye kete tatu popote pale.
6. Mchezo au steps zitakazojirudia rudia mfano tatu gomea nk basi yule anayetafuta kushinda atapewa dakika tano tu endao ile kete ikishatoka step moja basi mchezo utaendelea kama kawaida.
7. Mfumo wa uchezaji kwenye Hatua ya Mtoano ( yaani 16 ) itapigwa Omary John Mshindi akipatikana mchezo umeisha, ila kama hawajafungana watacheza tege mbili ( 2 ) za muda wa kawaida nazo zikiisha sare, ndipo zitapigwa tege nne ( 4 ) goli la dhahabu mtu atakapofungwa mchezo utakuwa umeisha lakini endapo nazo zitaisha bila mshindi kupatikana sasa wataongezewa tege kwa goli la dhahabu huku wakipunguziwa muda kwa sekunde kumi tu hadi mmoja afe.
8. Kwenye Makundi endapo wachezaji watafanana points
Vitaangaliwa vigezo cmvifuatavyo
1. Tofauti ya magoli ya kufunga na kufungwa
2. kigezo cha matokeo yao walipokutana ( Head to Head )
3. Idadi ya magoli ya kufunga mwenye mengi ataenda
4. Kama kote huko wamefanana basi italazimika mechi ichezwe tena kati ya hao waliofanana.
9. Kitendo /vitendo vitakavyoashiria ushirikina haviruhusiwi katika mashindano na endapo mchezaji atabainika kujihusisha navyo na kamati ikijiridhisha anaweza kuondolewa katika mashindano.
10. Mchezaji hataruhusiwa kuwekea kete kivuli au kuashiria kucheza kete fulani, hesabu zote zipigwe nje ya uwanja, endapo kamisaa atajiridhisha kwamba imejengewa kivuli atakiwa kuicheza kete hiyo.
11. Endapo Mchezaji akichelewa kwa zaidi ya muda uliopangwa kamati itawasubiri kwa muda wa nusu tu, baada ya hapo atakuwa amejiondoa mwenyewe kwenye mashindano mpinzani wake ataendelea round inayofuata.
MFUMO WA UCHEZAJI
( hatua ya makundi )
Kwenye mzunguko kutakuwa na makundi manane (8) na wanatakiwa kupita wachezaji wawili (2) kila kundi,,
Katika kila kundi wachezaji watakutana wote yaani kila mchezaji atacheza na kila mchezaji mwenzake kwenye kundi lake,,
Kwenye Makundi michezo ni minne tu Yaani miwili kawaida na miwili tege.
Hatua ya Mtoano Zitapigwa Omary John kwa kufuata sheria namba 7 hapo juu
Wachezaji wa mikoani wafike MBEYA CHUNYA siku moja kabla ya mashindano yaani tarehe 29.8.2023
Ligi Itaanza Rasmi Siku ya juma Tano tarehe 30/08/2023, hadi 1/09/2023Mwezi wa tisa , Saa mbili kamili Asubuhi kwenye CLUB ya chunya (chunya arena) , na Siku ya kwanza kutakuwa na ufunguzi wa mashindano ambapo Tunatazamia kuwa na mgeni rasmi (............. ) Atafungua mashindano rasmi.[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]