DRAFT ONLINE: Sisco vs Mkulima

DRAFT ONLINE: Sisco vs Mkulima

RATIBA RASMI YA MASHINDANO YA DRAFTI KITAIFA IMESHATOKA.
YATAANZA RASMI TAREHE 30 AGOSTI 2023 HADI 01 SEPTEMBA 2023.

MASHINDANO YA KUMTAFUTA BINGWA WA DRAFT TANZANIA 2023




WASHIRIKI

KUNDI A
Sisco
Gaby
Monster
Dogo shuku
Ngapulila


KUNDI B
Dilima
Digi Digi
Aradini
Dogo yassin
Matongo


KUNDI C
Noel
Mwasapile
Mbeya city
Dogo janja
Mawazo


KUNDI D
Mamba
Keny hisabati
Nungwi
Gaidi
Hemed Arusha


KUNDI E
Rama Arusha
Dany Mbeya
Dogo Athuman
Kwata mwivi
Lissu


KUNDI F
kiwembe
Stive Mbeya
Dogo Hans
Rama singida
Dogo Ally


KUNDI G
Simba Dom
Shaban Mbeya
John kipaji
Kili mnyama
Zaidi


KUNDI H
Nduli
Babu songea
Amani Siri
Hussein tanga
Kavimba


16 BORA
A1 vs E2
D1 vs. H2
B1 vs. F2
C1 vs G2
E1 vs A2
H1 vs D2
F1 vs B2
G1 vs C2

Robo fainali
Mshindi 1 vs 2
Mshindi 3 vs 4
Mshindi 5 vs 6
Mshindi 7 vs 8

Nusu fainali
R1 vs R2
R3 vs R4

Mshindi wa 3
Fainali

Zawadi

1. 2,000,000/=
2. 1,000,000
3. 500,000





MATANGAZO ( Watarusha wenyeji wa Mbeya )


WARATIBU
1. Adamu wa Goba
2. Dullah Mabao
3. Zaidi
4. Mtemi
5. Eng kitova
6. Mohamed Ismail
7. Paul Jackson



SHERIA ZA MASHINDANO KUMTAFUTA BINGWA WA DRAFT TANZANIA 2023.

1. Kufikiria sekunde 60 + Kumi za kuesabu baada ya hapo kamisaa atavuruga bao na kumpa mpinzani ushindi

2. Ikitokea umeshangilia hadi bao kuvurugika basi kamisaa atamkabidhi ushindi mpinzani wako.

3. Mchezo ukishaanza lazima uishe kwanza ndo ruhusa ya kwenda chooni itatolewa.

4. Hairuhusiwi kutumia simu wakati mchezo unaendelea.

5.Mwenye kingi moja anamamlaka ya kumvalisha mwenye kete tatu popote pale.

6. Mchezo au steps zitakazojirudia rudia mfano tatu gomea nk basi yule anayetafuta kushinda atapewa dakika tano tu endao ile kete ikishatoka step moja basi mchezo utaendelea kama kawaida.

7. Mfumo wa uchezaji kwenye Hatua ya Mtoano ( yaani 16 ) itapigwa Omary John Mshindi akipatikana mchezo umeisha, ila kama hawajafungana watacheza tege mbili ( 2 ) za muda wa kawaida nazo zikiisha sare, ndipo zitapigwa tege nne ( 4 ) goli la dhahabu mtu atakapofungwa mchezo utakuwa umeisha lakini endapo nazo zitaisha bila mshindi kupatikana sasa wataongezewa tege kwa goli la dhahabu huku wakipunguziwa muda kwa sekunde kumi tu hadi mmoja afe.


8. Kwenye Makundi endapo wachezaji watafanana points
Vitaangaliwa vigezo cmvifuatavyo
1. Tofauti ya magoli ya kufunga na kufungwa
2. kigezo cha matokeo yao walipokutana ( Head to Head )
3. Idadi ya magoli ya kufunga mwenye mengi ataenda
4. Kama kote huko wamefanana basi italazimika mechi ichezwe tena kati ya hao waliofanana.

9. Kitendo /vitendo vitakavyoashiria ushirikina haviruhusiwi katika mashindano na endapo mchezaji atabainika kujihusisha navyo na kamati ikijiridhisha anaweza kuondolewa katika mashindano.

10. Mchezaji hataruhusiwa kuwekea kete kivuli au kuashiria kucheza kete fulani, hesabu zote zipigwe nje ya uwanja, endapo kamisaa atajiridhisha kwamba imejengewa kivuli atakiwa kuicheza kete hiyo.

11. Endapo Mchezaji akichelewa kwa zaidi ya muda uliopangwa kamati itawasubiri kwa muda wa nusu tu, baada ya hapo atakuwa amejiondoa mwenyewe kwenye mashindano mpinzani wake ataendelea round inayofuata.




MFUMO WA UCHEZAJI
( hatua ya makundi )

Kwenye mzunguko kutakuwa na makundi manane (8) na wanatakiwa kupita wachezaji wawili (2) kila kundi,,

Katika kila kundi wachezaji watakutana wote yaani kila mchezaji atacheza na kila mchezaji mwenzake kwenye kundi lake,,


Kwenye Makundi michezo ni minne tu Yaani miwili kawaida na miwili tege.



Hatua ya Mtoano Zitapigwa Omary John kwa kufuata sheria namba 7 hapo juu


Wachezaji wa mikoani wafike MBEYA CHUNYA siku moja kabla ya mashindano yaani tarehe 29.8.2023

Ligi Itaanza Rasmi Siku ya juma Tano tarehe 30/08/2023, hadi 1/09/2023Mwezi wa tisa , Saa mbili kamili Asubuhi kwenye CLUB ya chunya (chunya arena) , na Siku ya kwanza kutakuwa na ufunguzi wa mashindano ambapo Tunatazamia kuwa na mgeni rasmi (............. ) Atafungua mashindano rasmi.🙏🙏🙏🙏🙏
ahsante sana
 
KWA FAIDA YA WOTE (JIUNGE MAGROUP YA DRAFTI WHATSAPP)

kuna magroup 5. group namba 3 na 4 nitawapa link.
group namba 1, 2 na 4 nitawapa namba za admins muwaombe wawaunge, hakuna kiingilio wala ada.
 

Attachments

  • Screenshot_20230807-201445_WhatsApp.jpg
    Screenshot_20230807-201445_WhatsApp.jpg
    40.4 KB · Views: 15
admin wa group namba 1:
+255625 867 484

admin wa group namba 2 (Draughts in Africa)
+260977575785

admin wa group namba 5:
+255682 158 600
 
admin wa group namba 1:
+255625 867 484

admin wa group namba 2 (Draughts in Africa)
+260977575785

admin wa group namba 5:
+255682 158 600
Link zote mbili kwangu zina-load tu nimeshindwa kujiunga.
Namba ya Admin wa group namba 2 uliyo toa hapo nimemwambia aniunge akasema OK Ila hadi Leo sijaungwa.
Namba ya Admin wa group namba 5 kasema yeye siyo admin, nikamwambia amwambie admin aniunge lakini hadi leo hakuna majibu.
Namba ya Admin group namba 1 yeye alinipa namba ya mtu aliyedai ndio admin, nikamwambia huyo ndugu aniunge akasema kuungwa kwenye group unalipia elfu kumi na mbili ya katiba, akasema nikiwa tayari atanipatia namba ya katibu niwasiliane Naye.
Sasa hapa wewe umesema hakuna kiingilio, nikawa nimekwama, hebu nieleweshe vizuri kuhusu hili suala.
 
Link zote mbili kwangu zina-load tu nimeshindwa kujiunga.
Namba ya Admin wa group namba 2 uliyo toa hapo nimemwambia aniunge akasema OK Ila hadi Leo sijaungwa.
Namba ya Admin wa group namba 5 kasema yeye siyo admin, nikamwambia amwambie admin aniunge lakini hadi leo hakuna majibu.

Namba ya Admin group namba 1 yeye alinipa namba ya mtu aliyedai ndio admin, nikamwambia huyo ndugu aniunge akasema kuungwa kwenye group unalipia elfu kumi na mbili ya katiba, akasema nikiwa tayari atanipatia namba ya katibu niwasiliane Naye.
Sasa hapa wewe umesema hakuna kiingilio, nikawa nimekwama, hebu nieleweshe vizuri kuhusu hili suala.
whatsapp ndivyo ilivyo, sometimes inazingua kujoin group kwa link, inaload sana mpaka unachoka. jaribu wakati mwingine hizo link. links za hayo magroup bado hazijabadilishwa.

nitaweka namba za admins wote wa group namba 5.

admin wa group namba 1 kakuzingua tu, hakuna kiingilio kwenye hilo group. kwa Tanzania nzima, group la kulipia ni moja tu, la Manyanya (Group La Taifa), mengine yote yaliyobaki hawalipii
 
whatsapp ndivyo ilivyo, sometimes inazingua kujoin group kwa link, inaload sana mpaka unachoka. jaribu wakati mwingine hizo link. links za hayo magroup bado hazijabadilishwa.

nitaweka namba za admins wote wa group namba 5.

admin wa group namba 1 kakuzingua tu, hakuna kiingilio kwenye hilo group. kwa Tanzania nzima, group la kulipia ni moja tu, la Manyanya (Group La Taifa), mengine yote yaliyobaki hawalipii
Ahsante Kwa ufafanuzi
 
Sheria namba sita kwenye tatu gomea. Mpinzania anaweza kuwa anacheza kila baada ya dakika moja. Hivyo dakika tano alizonazo mtu ili kuitoa kete atakuwa amecheza mara tano tu. Iwekwe vizuri hizo dakika tano zinahesabiwaje.
 
RATIBA RASMI YA MASHINDANO YA DRAFTI KITAIFA IMESHATOKA.
YATAANZA RASMI TAREHE 30 AGOSTI 2023 HADI 01 SEPTEMBA 2023.

MASHINDANO YA KUMTAFUTA BINGWA WA DRAFT TANZANIA 2023



WASHIRIKI

KUNDI A
Sisco
Gaby
Monster
Dogo shuku
Ngapulila

KUNDI B
Dilima
Digi Digi
Aradini
Dogo yassin
Matongo

KUNDI C
Noel
Mwasapile
Mbeya city
Dogo janja
Mawazo

KUNDI D
Mamba
Keny hisabati
Nungwi
Gaidi
Hemed Arusha

KUNDI E
Rama Arusha
Dany Mbeya
Dogo Athuman
Kwata mwivi
Lissu

KUNDI F
kiwembe
Stive Mbeya
Dogo Hans
Rama singida
Dogo Ally

KUNDI G
Simba Dom
Shaban Mbeya
John kipaji
Kili mnyama
Zaidi

KUNDI H
Nduli
Babu songea
Amani Siri
Hussein tanga
Kavimba

16 BORA
A1 vs E2
D1 vs. H2
B1 vs. F2
C1 vs G2
E1 vs A2
H1 vs D2
F1 vs B2
G1 vs C2

Robo fainali
Mshindi 1 vs 2
Mshindi 3 vs 4
Mshindi 5 vs 6
Mshindi 7 vs 8

Nusu fainali
R1 vs R2
R3 vs R4

Mshindi wa 3
Fainali

Zawadi
1. 2,000,000/=
2. 1,000,000
3. 500,000





MATANGAZO ( Watarusha wenyeji wa Mbeya )


WARATIBU
1. Adamu wa Goba
2. Dullah Mabao
3. Zaidi
4. Mtemi
5. Eng kitova
6. Mohamed Ismail
7. Paul Jackson



SHERIA ZA MASHINDANO KUMTAFUTA BINGWA WA DRAFT TANZANIA 2023.

1. Kufikiria sekunde 60 + Kumi za kuesabu baada ya hapo kamisaa atavuruga bao na kumpa mpinzani ushindi

2. Ikitokea umeshangilia hadi bao kuvurugika basi kamisaa atamkabidhi ushindi mpinzani wako.

3. Mchezo ukishaanza lazima uishe kwanza ndo ruhusa ya kwenda chooni itatolewa.

4. Hairuhusiwi kutumia simu wakati mchezo unaendelea.

5.Mwenye kingi moja anamamlaka ya kumvalisha mwenye kete tatu popote pale.

6. Mchezo au steps zitakazojirudia rudia mfano tatu gomea nk basi yule anayetafuta kushinda atapewa dakika tano tu endao ile kete ikishatoka step moja basi mchezo utaendelea kama kawaida.

7. Mfumo wa uchezaji kwenye Hatua ya Mtoano ( yaani 16 ) itapigwa Omary John Mshindi akipatikana mchezo umeisha, ila kama hawajafungana watacheza tege mbili ( 2 ) za muda wa kawaida nazo zikiisha sare, ndipo zitapigwa tege nne ( 4 ) goli la dhahabu mtu atakapofungwa mchezo utakuwa umeisha lakini endapo nazo zitaisha bila mshindi kupatikana sasa wataongezewa tege kwa goli la dhahabu huku wakipunguziwa muda kwa sekunde kumi tu hadi mmoja afe.


8. Kwenye Makundi endapo wachezaji watafanana points
Vitaangaliwa vigezo cmvifuatavyo
1. Tofauti ya magoli ya kufunga na kufungwa
2. kigezo cha matokeo yao walipokutana ( Head to Head )
3. Idadi ya magoli ya kufunga mwenye mengi ataenda
4. Kama kote huko wamefanana basi italazimika mechi ichezwe tena kati ya hao waliofanana.

9. Kitendo /vitendo vitakavyoashiria ushirikina haviruhusiwi katika mashindano na endapo mchezaji atabainika kujihusisha navyo na kamati ikijiridhisha anaweza kuondolewa katika mashindano.

10. Mchezaji hataruhusiwa kuwekea kete kivuli au kuashiria kucheza kete fulani, hesabu zote zipigwe nje ya uwanja, endapo kamisaa atajiridhisha kwamba imejengewa kivuli atakiwa kuicheza kete hiyo.

11. Endapo Mchezaji akichelewa kwa zaidi ya muda uliopangwa kamati itawasubiri kwa muda wa nusu tu, baada ya hapo atakuwa amejiondoa mwenyewe kwenye mashindano mpinzani wake ataendelea round inayofuata.




MFUMO WA UCHEZAJI
( hatua ya makundi )

Kwenye mzunguko kutakuwa na makundi manane (8) na wanatakiwa kupita wachezaji wawili (2) kila kundi,,

Katika kila kundi wachezaji watakutana wote yaani kila mchezaji atacheza na kila mchezaji mwenzake kwenye kundi lake,,


Kwenye Makundi michezo ni minne tu Yaani miwili kawaida na miwili tege.



Hatua ya Mtoano Zitapigwa Omary John kwa kufuata sheria namba 7 hapo juu


Wachezaji wa mikoani wafike MBEYA CHUNYA siku moja kabla ya mashindano yaani tarehe 29.8.2023

Ligi Itaanza Rasmi Siku ya juma Tano tarehe 30/08/2023, hadi 1/09/2023Mwezi wa tisa , Saa mbili kamili Asubuhi kwenye CLUB ya chunya (chunya arena) , na Siku ya kwanza kutakuwa na ufunguzi wa mashindano ambapo Tunatazamia kuwa na mgeni rasmi (............. ) Atafungua mashindano rasmi.[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
CR7 Ronaldo mbona hayupo kwenye hii ligi?
 
Back
Top Bottom