DRAFT ONLINE: Sisco vs Mkulima

DRAFT ONLINE: Sisco vs Mkulima

[emoji91][emoji91][emoji91] EXCLUSIVE [emoji91][emoji91][emoji91]



MKULIMA [emoji89] vs NOEL NAMALOWE



.... CONFIRMED ....



MDA: Saa 4 usiku leo.


ZAWADI: 60K tsh ( Noel azuie sare ngoma 24)



Raisi wa WATU HURU, Kamanda ISSA @⁨Issa Mwakyoma⁩ almaarufu PUTIN ameonekana kutoridhishwa kabisa na matokeo ya game ya DOGO SISCO na MKULIMA[emoji89] akidai kuwa hakukuwa na ulazma wa kijana wake kufungwa.



Kuhusiana na swala la game kuchezwa usiku kwaanzia saa 4... Hii ni KUTOKANA NA MAJUKUMU YA KIMATAIFA ALIYONAYO MKULIMA[emoji89]... MDA huu ndio huwa tulivu kwake hivyo TUNAOMBA RADHI SANA.



UNAPOLIZUNGUMZIA DRAFT UNAMZUNGUMZIA MKULIMA [emoji89].... NAJUA NI KASHFA KWENU KUSHINDWA KUZUIA SARE KATIKA MICHEZO 24 LAKINI SINA NAMNA YA KUWASAIDIA LAZMA NIWAPITISHE KWENYE TANULI LA MOTO ILI MKOMAE [emoji89]
 
Sisco anasema Simu iliisha chaji akatumia ya mtu

Matokeo ALIPIGWA 2-0

Akakimbia

Kundi la WATU HURU lenye wachezaji Kama NDULI ,NOEL ,SISCO na mafundi wengine wa Draft TZ

Wanaanda marudiano na MKULIMA


PIA LEO KUTAKUWA NA MTANANGE

WA NOEL BINGWA KUTOKA NJOMBE NA MKULIMA

IMG-20230102-WA0325.jpg
 
[emoji91][emoji91][emoji91] EXCLUSIVE [emoji91][emoji91][emoji91]



MKULIMA [emoji89] vs NOEL NAMALOWE



.... CONFIRMED ....



MDA: Saa 4 usiku leo.


ZAWADI: 60K tsh ( Noel azuie sare ngoma 24)



Raisi wa WATU HURU, Kamanda ISSA @⁨Issa Mwakyoma⁩ almaarufu PUTIN ameonekana kutoridhishwa kabisa na matokeo ya game ya DOGO SISCO na MKULIMA[emoji89] akidai kuwa hakukuwa na ulazma wa kijana wake kufungwa.



Kuhusiana na swala la game kuchezwa usiku kwaanzia saa 4... Hii ni KUTOKANA NA MAJUKUMU YA KIMATAIFA ALIYONAYO MKULIMA[emoji89]... MDA huu ndio huwa tulivu kwake hivyo TUNAOMBA RADHI SANA.




UNAPOLIZUNGUMZIA DRAFT UNAMZUNGUMZIA MKULIMA [emoji89].... NAJUA NI KASHFA KWENU KUSHINDWA KUZUIA SARE KATIKA MICHEZO 24 LAKINI SINA NAMNA YA KUWASAIDIA LAZMA NIWAPITISHE KWENYE TANULI LA MOTO ILI MKOMAE [emoji89]
Yani game zote 24 Noel azuie sare?

Mbona mkataba mgumu sana huo?
 
Sisco anasema Simu iliisha chaji akatumia ya mtu

Matokeo ALIPIGWA 2-0

Akakimbia

Kundi la WATU HURU lenye wachezaji Kama NDULI ,NOEL ,SISCO na mafundi wengine wa Draft TZ

Wanaanda marudiano na MKULIMA


PIA LEO KUTAKUWA NA MTANANGE

WA NOEL BINGWA KUTOKA NJOMBE NA MKULIMA

View attachment 2467722
Inaonekana Mkulima ana balaa sio la kitoto
 
Hakuna mcheza madraft asojulikana..huyo msomali wa Arusha anajulikana vizuri Sana alishawai kua bingwa wa arusha.
Alaf unaonekana mgeni Sana kwenye mabao..msomali ndio huyo huyo.
Sawa Much know...[emoji23]
 
Huyo Sisco hawezi kushindikana Tanzania nzima kwasababu hajacheza na wacheza draft wote

Nimeangalia draft na kucheza sana ila kuna Dogo mmoja msomali yupo Arusha sijawahi kuona akifungwa na nina uhakika huyo Sisco hamsogelei. Huyo jamaa nahisi ndio mchawi wa draft
Arusha yupo jamaa anaitwa nyoka mzee, ni hatari
 
Nimeangalia mpka gemu ya 14 ilikuwa draw nahisi yule sisko alichoka tu ila mkulima daa nimeshindwa kumuelewa maana hakuna mtu wa kawaida anaweza cheza kama vile sehemu unaona angefungwa yeye anatoa sare kilaini
Eng Ze dudu njoo uchuke maajuzi nikufundishe upambane na kina sisko
 
Kitambo sana hii mambo sijafatilia. Kifupi ni kwamba wakali wa draft wapo wengi. Na ikipigwa mbungi ni makosa madogo sana yanapelekea mtu kufungwa.
Kati ya mabingwa wa draft nimebahatika kumwona Cr7, wa sinza, Mangwelele, Marehemu Jumah Mchafu na mkali wa vipande Gadzilla.

Japo sijacheza muda mrefu sana ila mimi kete najua kusukuma sana tu.
 
Huyo Sisco hawezi kushindikana Tanzania nzima kwasababu hajacheza na wacheza draft wote

Nimeangalia draft na kucheza sana ila kuna Dogo mmoja msomali yupo Arusha sijawahi kuona akifungwa na nina uhakika huyo Sisco hamsogelei. Huyo jamaa nahisi ndio mchawi wa draft
Unaweza kuwa fundi sana ila kwa sheria za draft unaweza kupigwa, Mf Kuna sheria ya kuanza wewe kucheza kete tofauti, Kuna sheria ya mpinzani kuanza kucheza kete tofauti, Kuna sheria ya kuzuia kufungwa, Kuna sheria unatakiwa kufunga nk. Wachezaji draft sisi site ila mabingwa ni wachache, Chanika Yuko dogo mmoja akinolewa atakuwa moto sana!
Dogo msomali kama anajua weka jina lake kamili na mtaa anaochezea draft mwambie ajitambulishe aitwe azuie sare tu!
 
Kuna mtu alisema kwenye kahawa ferry kuwa mkulima ni zombi au robot hajulikani Yuko wapi na ni nani na hajawahi kufungwa na matula Tula wote wanaojiita mabingwa wa draft manyanya. Mkulima Yuko online tu anakula hela za vibonde wote tz nzima hadi hao matula Tula sijui kina Mangwelele , ISSA Meno ya Mamba , Sisco na Cr7 wenu! Ukweli ni upi?
tupeni matokeo ya mkulima vs noel
 
Ni kwa vile hufatilii madraft

Ila Juzi Sisco ndani ya Siku 2 kachukua mataji mawili yote kala Kama 800k

Ndipo mzee Java akatoa ofa azuie sare kwa MKULIMA

tuliopo kwenye Grupu la Draft Tz tunayajua haya

Wacheza Draft kwasasa wale Wazuri kwa Mwez anaingiza had million 3
tuwekee link ya Group la Draft TZ tujiunge
 
Back
Top Bottom