GoldDhahabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2023
- 7,189
- 10,375
Very niceHio ni nyama ya Kware,Ni chakula so wacha kukariri life. Hayo pia ni mayai yake. Nitafute kwa wakati wako nikupe shule zaidi.View attachment 2899020View attachment 2899021View attachment 2899024View attachment 2899026
1. Nilikuwa nyama ya kware miaka 20 iliyopita. Ni tamu sana. Nikiambiwa nichague kati ya nyama ya kuku na ya kware, nitachagua ya kwareMayai ya kware yanautofauti gani na mayai ya kuku. Nyama ya kwareninatifauti gani na nyama ya kuku?
Muhimu ujumbe ufike.Nilikuwa nishakupandisha kiwango kukuona bonge la smart man unafunga kware unakula mayai ya kware ..huo' mkono wa mwarabu cjui Mzungu ndio nikajua kumbe umetoa mtandaoni 😄
Hata mimi nayapenda sana sema upatikanaji wake huku niliko ni changamotoTunda lenye faida nyingi sana mwilini na Wazungu, Wachina, wahindi wanayapenda sana haya matunda, Wachina ndio usiseme.
usilogwe ukaingia kwenye bishara isiyo na watumiaji wengi utachakaa kwa kupoteza muda na fedhaDunia inabadilika sana ila kuna watu hawabadiliki, nimesoma maswali ya wadau hapa yanatia huruma.
1. Dragon Fruit ni biashara kubwa sana na matunda yake yanauzwa aghali sana hapa Mwanza Sh 15,000/ moja na yanatoka Kenya.
2. Almond anayesema naona hazijui hebu aende Supermarket akaulizie bei yake hata Korosho haifikii na bado watu hawajashtulia kuzilima.
3. Kwale Bora umewawekea picha, nilikwenda Dodoma jamaa yangu akinitaka twende mnadani tulale Kuku, tulipofika akamuita muuzaji atuletee kuku wachanga, sikuelewa nikahoji kuku wakubwa wapo iwekee tule wachanga, akacheka akanieleza ni wazuri Sana walupofikika akanieleza hawa mie huwaita Kuku wachanga sababu ni watodo lakini waita ni Kwale. Ni biashara kubwa sana watu wanatajirika nayo.
3. Mafuta ya ubuyu, mafuta ya mlonge, mafuta ya Vitunguu swaumu, mafuta ya karanga watu wanazalisha na bei ni mbaya.
Kwa kifupi Jambo usilolijua ninusiku wa Giza unachokiona hakifai kwako ni fursa kwa wengine na wanasomesha watoto na maisha yanasonga mbele.
Singida tu hapo tumekula sana tu.Kama haifai kula PITAYA (dragon fruits) kwa kuwa ni matunda ya kigeni, na hata hayo mengine nayo hayafai. Yote ni ya kigeni
Nipe connection ya hilo "pori" mkuu, utapata na ya "maji"Singida tu hapo tumekula sana tu.
Hununui unaenda unachuma unatambaa nayo,ni matunda pori hamna anayekuuliza.
Yako hapo mahakamani mbele kwa mtemi senge.Nipe connection ya hilo "pori" mkuu, utapata na ya "maji"