[emoji2961][emoji1784][emoji24]Hata kama habari si ya kweli. Ila mwana hip pop wa kizazi hiki wengi machoko
Hawa sijawahi kuwaelewa nawaonaga siyoHata kama habari si ya kweli. Ila mwana hip pop wa kizazi hiki wengi machoko
watu wa ajenda hawa ...eminem kalegeza misimamo ndio maana bado yupo kwenye game mpaka sasaHawa sijawahi kuwaelewa nawaonaga siyo
Ova
Kweli kabisawatu wa ajenda hawa ...eminem kalegeza misimamo ndio maana bado yupo kwenye game mpaka sasa
Bila kuwa shoga au kusapoti ushoga utoboi zama hii..tuendelea kumwomboleza mwana hip pop wa kweli SALU T
💯🤝furrTv za uchochoroni, ccm hamna akili
Sio kweli,Yaani Drake na Michano yake yote ile anasukumiwa Rungu?
Hapo sawa, maana nilikua najiuliza sasa ule ugomvi na Chris Brown kisa Rihanna ulikua wa nini sasaSio kweli,
Duuu, mamtoni nilibaki namsikiliza slim shady tu kumbe nae kasanda? Kudadeki ngoja nimrudie muumba tu niachane na mambo ya kiduniawatu wa ajenda hawa ...eminem kalegeza misimamo ndio maana bado yupo kwenye game mpaka sasa
Bila kuwa shoga au kusapoti ushoga utoboi zama hii..tuendelea kumwomboleza mwana hip pop wa kweli SALU T
slim shady sio shoga , sema hapo mwanzo alikuwa na mistari ya kudis mashoga, mbeleni alipokuja kuulizwa juu ya hiyo mistari akajibu ilikuwa ni utotoDuuu, mamtoni nilibaki namsikiliza slim shady tu kumbe nae kasanda? Kudadeki ngoja nimrudie muumba tu niachane na mambo ya kidunia
Nafahamu sio shoga Ila aliwadis hadharani, nakumbuka hata kwenye zile tuzo alipotakiwa kuimba wimbo wa Stan na Elton John alitusi kwanza ndio wakaimbaslim shady sio shoga , sema hapo mwanzo alikuwa na mistari ya kudis mashoga, mbeleni alipokuja kuulizwa juu ya hiyo mistari akajibu ilikuwa ni utoto
Hata ivyo kwa sasa anatambua haki za mashoga