FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,789
- 5,401
Nimeangalia ile video ya bafuni na domo yule Dada hajielewi sasa hapo familia itakupendaje MTU mzima hujiheshimu, ukute huyu hata mbele ya mkwewe anayafanya hayo ndo mana wanachukia Hana aibu kabisa
Harafu Diamond bado mdogo huyo zari alitakiwa kumuongoza katika njia bora ...hapo naona hakuna hata wa kumshauli mwenzie
zari yeye naona anataka jina lisipotee hajui kama anawadhalilisha watoto wake ..na watoto wenyewe wana account Instagram