Drama mpya ya familia ya Diamond Platinumz.. Reflection ya family zetu

Drama mpya ya familia ya Diamond Platinumz.. Reflection ya family zetu

wapumbavu wote !!MTU km zari Mwenye watoto watano upumbavu anaoufanya na kuna mijitu eti inamfagilia yaaani mi nasema km ule ndo umaarufu'naomba niendelee kua mchimba chumvi'jtu Lina mitoto minne bado linajidhalilisha vile mxxxxxiuuuuu!!
Mungu nusuru kizazi changu!!
 
Katika maisha hata upate hela vipi; ndugu ni wa kuwajengea au kuwasaidia kutoka mbali. Ukishakuwa na mke au mwenza ni vema ukajifunza kuwaweka mbali na familia. Wawe ni wageni tu wa kuja kusalimia but usilete biashara za kuwaweka ndugu na mkeo under the same roof. Ikiwa wewe na mkeo pamoja na kupendana ila kuna siku mnatofautiana kidogo sembuse ndugu asiyekuwa na intimate connection na mkeo?

Na hapo hatujaongelea aina ya ndugu kwa kuzingatia elimu, exposure na tabia ya wao kujitegemea.
 
Uzungu wa zari, unawapwelepweta akina ESMA, ...ngachoka pale esma anavyoimitatate kijisauti cha zari ( esp. akiwa anamsemesha tiffah zile like "show momy ") eti na yeye anamwita mwanae kwa hicho kijisauti + kiinglish..yani nilbaki kucheka...ESMA mshamba sana..


Yani ungewajua wazungu wenyewe walivyo waswahili wala usingemdharau Esma hivyo.

English ni lugha km zilivyo lugha nyingine, hiyo kuongea kwa sauti nyembamba ni asili yao kutokana na ascent yao. Watu wa kila nchi wana ongea na ascent yao.

Heshimuni wengine ili uheshimiwe
 
Bonge la ujumbe, tatizo wanao msakama hawaijui lugha ya malkia, mama anajidai MZALENDO so alitegemea kupashwa na songi la hadija kopa. Zari kweli kakomaa kimahusiano au kafundwa akafundika.

Zari ni kiboko yao, wanaweweseka haswaaaa...walipo nae kachangia wakafika wanajisahau wanataka nao wawe level moja na anayempasha joto mwanae/mdogo...hawajui kuna mipaka sasa wataitambua...waache waachane wao kama imepangwa iwe hivyo.

Ila nahamu Zari arushe maneno yake masaa yoteeeee....ndio raha ya kutoka na mwanamke ambaye ameshaonja mahusiano na hata maisha ya kindoa...angekuwa na akina .com mbona tungeona .com kashabeba mwanaume mwingine kuringishia hao wadaku....

Go Zari, Go Zari....
 
wapumbavu wote !!MTU km zari Mwenye watoto watano upumbavu anaoufanya na kuna mijitu eti inamfagilia yaaani mi nasema km ule ndo umaarufu'naomba niendelee kua mchimba chumvi'jtu Lina mitoto minne bado linajidhalilisha vile mxxxxxiuuuuu!!
Mungu nusuru kizazi changu!!


Mmmmmmmmh duh!!!!!!

kama vile yeye wa kwanza kuzaa na kuwa na bwana mwingine. Uzuri na akili hadi raha
 
Hilo nalo la muhimu sana mama apate baba na esma nae apate mme akaishi kwa mme wake hapo itakua afadhali
Huyo Mama ni jipu kweli Diamond anayo kazi kubwa hata angekuwa Wema au nani ni lazima maneno yangekuwepo...! Namuonea sana huruma Diamond maana watamkosesha sana raha hawa nduguze na wazazi!
 
Uzungu wa zari, unawapwelepweta akina ESMA, ...ngachoka pale esma anavyoimitatate kijisauti cha zari ( esp. akiwa anamsemesha tiffah zile like "show momy ") eti na yeye anamwita mwanae kwa hicho kijisauti + kiinglish..yani nilbaki kucheka...ESMA mshamba sana..
Anatakiwa amshukuru sana zari, esma alikua mchafu chafu anapost picha miguu ina vumbi anavaa lonya, sahivi nae kawa msafi anajua na kupaka make up amshukuru sana zari kuna ile picha alienda kupima ngoma akaitupia vidole vyangu miguu vipo kama tangawizi kucha chafu leo hata rangi anapaka teh teh oooh
 
Huyo Mama ni jipu kweli Diamond anayo kazi kubwa hata angekuwa Wema au nani ni lazima maneno yangekuwepo...! Namuonea sana huruma Diamond maana watamkosesha sana raha hawa nduguze na wazazi!
Diamond yupo katikati hapa mama, hapa mke, hapa dada lazma mahali paharibike hawezi kubalance mapenzi ya hivo
 
Back
Top Bottom