Drama za CHADEMA Katika kumpata mwenyekiti mpya,hila,Choyo na utapeli

Jack Daniel

JF-Expert Member
Joined
Sep 23, 2021
Posts
2,912
Reaction score
12,904
FREEMAN AIKAEL MBOWE
(Borntown)

Ana huruma kiasi,anasikiliza shida za wanachama wake,ila hapendi mtu mwerevu kupita kiasi,yaani usivuke mipaka.mtaji wake ni wanachama Waandamizi yaani aliowasaidia shida mbalimbali hawa anaamini watamvusha na wao wamemuhakikishia hilo

Anajisikia vibaya kuiacha CHADEMA mikononi mwa mtu ambaye hakuwa akilini mwake,kuna watu ambao alipanga kabisa kuwa atawapa kijiti ila siyo sasa hivi.na si aina ya mtu huyu

Kwake CHADEMA ni kinga inayompa nguvu ya kutanua biashara zake hivyo mrithi alitakiwa awe mtu wa ndani e.g mwanae wa kumzaa.

Licha ya ubabe aliokuwa nao ambao wengi hawaujui ,ni mtu mwenye kusamehe haraka na kuachilia .

Maridhiano yanamuondoa kwenye reli anashindwa ajitetee vipi ila ni nani ataalikwa Ikulu na Rais halafu akatae?

Kiasi fulani kapoteza ushawishi Kwa umma ujanja wake umebaki kwa timu na genge lililomzunguka

TUNDU ANTIPAS LISSU
(Bush Cruelty)

Hana huruma,ni mchoyo,ana wivu ana visasi sana ni vile hana nguvu haswa serikalini na hata Kwa Mbowe ila ni moja ya mtu wa hovyo kabisa.

Ana uchungu na chama chake na nchi Kwa ujumla,mtaji wake ni watu wa Hali ya chini huku ndiyo alikojikita na wengi ni wafuata upepo kwani ni kama walibya tu waliotaka Ghadafi aondoke wakiwa hawajui ni kiongozi wa aina gani atakuja.

Ana Sera za kijima ni Magufuli mpya huyu akipewa CHADEMA badala ya kujenga na kuimarisha chama ataanza na wale timu Freeman Mbowe atawaengua na kuweka anaoona wanafaa visasi,na minyukano itakuwa mingi mno.

Hana busara hata ukijamba mbele za watoto atakwambia umejamba badala ya kukaa kimya.

Ana nguvu na ushawishi Kwa umma hili linampa nguvu na ari ya kuona anaweza kupokea kijiti.
 
Mnalipwa bei gani kumtetea Mbowe wakubwa?

Mbowe ni Mbinafsi, Mchoyo, Roho mbaya.

Wenzake wamemchoka.
 
Nawaambia kilasiku Mbowe anaenda kushinda uenyekit bila nguvu... Ni vile WaTz hawaijui siasa na vituko vyake na rafu zake, ila ukweli ni kwamba Lema na wengine ambao wamejitokeza kuonyesha hawamuungi mkono Mbowe ndiyo ambao nyuma ya pazia wanasuka mipango mikali ya kumsaidia Mbowe kushinda uenyekit 🤣😅 sasa wew jichanganye uamini eti Godbless Lema kagombana na mbowe
 
12b hizo zinawatoa akili,ila mjue wajumbe wameshafanya maamuzi kukilinda chama,watu wanataka mabadiliko hizi ngonjera zenu tunawachora game limeisha hili,na Lemma jana ndiyo kahitimisha uenyekiti wa Sultan Mbowe.
 
Nimekuelewa mno
 
[[ATTACH=full]3202980[/ATTACH]QUOTE="Jack Daniel, post: 52559355, member: 650850"]
FREEMAN AIKAEL MBOWE
(Borntown)

Ana huruma kiasi,anasikiliza shida za wanachama wake,ila hapendi mtu mwerevu kupita kiasi,yaani usivuke mipaka.mtaji wake ni wanachama Waandamizi yaani aliowasaidia shida mbalimbali hawa anaamini watamvusha na wao wamemuhakikishia hilo

Anajisikia vibaya kuiacha CHADEMA mikononi mwa mtu ambaye hakuwa akilini mwake,kuna watu ambao alipanga kabisa kuwa atawapa kijiti ila siyo sasa hivi.na si aina ya mtu huyu

Kwake CHADEMA ni kinga inayompa nguvu ya kutanua biashara zake hivyo mrithi alitakiwa awe mtu wa ndani e.g mwanae wa kumzaa.

Licha ya ubabe aliokuwa nao ambao wengi hawaujui ,ni mtu mwenye kusamehe haraka na kuachilia .

Maridhiano yanamuondoa kwenye reli anashindwa ajitetee vipi ila ni nani ataalikwa Ikulu na Rais halafu akatae?

Kiasi fulani kapoteza ushawishi Kwa umma ujanja wake umebaki kwa timu na genge lililomzunguka

TUNDU ANTIPAS LISSU
(Bush Cruelty)

Hana huruma,ni mchoyo,ana wivu ana visasi sana ni vile hana nguvu haswa serikalini na hata Kwa Mbowe ila ni moja ya mtu wa hovyo kabisa.

Ana uchungu na chama chake na nchi Kwa ujumla,mtaji wake ni watu wa Hali ya chini huku ndiyo alikojikita na wengi ni wafuata upepo kwani ni kama walibya tu waliotaka Ghadafi aondoke wakiwa hawajui ni kiongozi wa aina gani atakuja.

Ana Sera za kijima ni Magufuli mpya huyu akipewa CHADEMA badala ya kujenga na kuimarisha chama ataanza na wale timu Freeman Mbowe atawaengua na kuweka anaoona wanafaa visasi,na minyukano itakuwa mingi mno.

Hana busara hata ukijamba mbele za watoto atakwambia umejamba badala ya kukaa kimya.

Ana nguvu na ushawishi Kwa umma hili linampa nguvu na ari ya kuona anaweza kupokea kijiti.
[/QUOTE]
 
Huu uharo pelekea wapuuzi wenzio hapo Dodoma
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…