Yaa hii ya kuchomeka kocha katika ya msimu mala nyingi huwafanya wachezaji kuanza upya pia morale hupungua tetesi nasikia Jamaa anawapa mazoezi makali sana hili ni tatizo.
Naye anajua tabia za vilabu vya bongo, even in Europe, timu zikifungwa kocha anaondoka. Ni kuweka mkataba vizuri, terminated you get your dues promptly. Kama mkataba wa miaka mitatu ukiuvunja wanakulipa mishahara ya miezi iliyobaki na upkeep unapokuwa unasubiri chako- mikata ya weledi, otherwise wahuni vongozi wa vilabu hivi watakutesa.