Labda aunge mkono juhudiNa sisi Samata akistaafu soka tunampa uwaziri wa michezo......!
mh!Tayari hapo kuja kuipita DRC kwenye michezo tusahau.Maana kidiaba ni mtu aliyekulia kwenye michezo.Sisi wa kwetu ni mwanasheria,hata sheria za mpira wa miguu hazijui
LA 343inches cityBado tuna safari ndefu ya uandishi na waandishi ktk nchi yetu. Chombo cha habari kinatoa habari ambayo sio sahihi kwa umma. Robert Kidiaba ni waziri wa michezo ktk jimbo lake na sio taifa. Vyombo vya habari pateni muda kusoma na kujua mifumo ya kiutawala ya nchi kabla kukurupukia habari
mh!Tayari hapo kuja kuipita DRC kwenye michezo tusahau.Maana kidiaba ni mtu aliyekulia kwenye michezo.Sisi wa kwetu ni mwanasheria,hata sheria za mpira wa miguu hazijui