Kurzweil
JF-Expert Member
- May 25, 2011
- 6,621
- 8,411
Rais Felix Tshisekedi ame.teua Robert Kidiaba kuwa Waziri wa Michezo wa Taifa hilo
Robert Kidiaba aliwahi kuwa mlinda mlango wa Klabu ya Soka ya TP Mazembe na Timu ya Taifa ya DRC
Katika Uchagu Mkuu wa DRC uliofanyika mwezi Januari, 2019 alichaguliwa kuwa Mbunge wa Jimbo la Katanga
Wakati akicheza soka Kidiaba alijizolea umaarufu kwa aina yake ya kushangilia kwa kusota kwa kutumia makalio
Robert Kidiaba aliwahi kuwa mlinda mlango wa Klabu ya Soka ya TP Mazembe na Timu ya Taifa ya DRC
Katika Uchagu Mkuu wa DRC uliofanyika mwezi Januari, 2019 alichaguliwa kuwa Mbunge wa Jimbo la Katanga
Wakati akicheza soka Kidiaba alijizolea umaarufu kwa aina yake ya kushangilia kwa kusota kwa kutumia makalio