East African Community tutaongea ki-lingala, loboko lobii papaa, ni juu ya nini, mutu ya mbuyi mayi, nguvu ya mamba iko kummayi
DRC washawahi kuishi kwa miaka mingi kama wakimbizi wengi wao wanakijua kiswahili kumbuka tuna mpaka wa 554 kilometre North to SouthEast African Community tutaongea ki-lingala, loboko lobii papaa, ni juu ya nini, mutu ya mbuyi mayi, nguvu ya mamba iko kummayi
Aisee JPM akikamatia kwenye madini ataipaisha sana hio nchi.JPM kaongeza muda wa mizigo ya congo hadi siku 30 badala ya wiki tatu.
Kamwambia pia atamsaidia namna kusimamia rasilimali kama Madini
Hiyo vumbi ya Kongo inapatika kwa fasi gani?Na ngufu ya bolo iko kwa fumbi ya kisangani
Wacongoman walikuwa wanapiga makofi tu kwa wingi.Aisee JPM akikamatia kwenye madini ataipaisha sana hio nchi.
Hapo atakuwa kamaliza kila kitu
Lo,kuna usemi usifuge mbwa kutegemea mavi ya mlevi ,jamma wa kask wanamdanganya mwarabu wana dhahabu kumbe wanategemea ya DRC walipokosa wakampa fekiJPM kaongeza muda wa mizigo ya congo hadi siku 30 badala ya wiki tatu.
Kamwambia pia atamsaidia namna kusimamia rasilimali kama Madini
Hivi issue ya kenya iliishia wapi?Lo,kuna usemi usifuge mbwa kutegemea mavi ya mlevi ,jamma wa kask wanamdanganya mwarabu wana dhahabu kumbe wanategemea ya DRC walipokosa wakampa feki
We are smartest is this region,wengine ni kama mbuzi wanapenda kutanguli na baskeli za barafu kabla jua halijawaka😁😁😁Magu kibiko, ameshamuweka mfukoni kama alivyofanya Kagame na museveni
East African Community tutaongea ki-lingala, loboko lobii papaa, ni juu ya nini, mutu ya mbuyi mayi, nguvu ya mamba iko kummayi
Mbona 55% ya cargo ya Eastern Congo inapita Dar!Katika marais ambao JPM anapaswa kula nao urafiki wa amini ni huyu bwana, haki ya Mungu tukifanikiwa kupata mzigo wa DRC only 50% sisi sio sisi tena, lazima Tshekedi atekeleze kauli yake ya SGR regardless ametoa kunogesha soga tu lakini Tanzania we have to make it happen hilo ni letu kabisa na tunaliweza.