Anadhani si tunashindana nao that's y si tunaongelea upande wetu na Congo tunaopaka jinsi gani tunarahisisha biashara ye anadhan mnaongelea mashindano na nchi yake Kenya ndio maana humwelewi.. Msamehe bureTumia akili japo kidogo jombaa, mbona unajiaibisha?. Tanzania ni nchi kubwa, sasa unataka watanzania wanaoishi western Tanzania waje Kenya au Uganda kufanya biashara?. Mikoa ya kusini wanafanya biashara na Malawi, Zambia na Msumbiji, Mikoa ya Kaskazini wanafanya biashara na Kenya, Uganda na Rwanda, Mikoa ya magharibi ni Burundi na DRC, mbona ni kitu kidogo sana kueleweka. Msitupotezee network, ngoja tukajenge Barabara za Eastern DRC ili tupanue soko letu.
Tunaweza kufikisha mizigo yao kuanzia Kalemie na Uvira pia maana wanabandari kule kama KigomaMpaka Lubumbashi tu!
Furthermore distance from kigoma port to kalemie port in DRC over Lake Tanganyika is 126.6 km.This will just complicte matters.For Tanzania to increase it's trade with DRC you must develop ports with adequate facilities on both side of the lake.
Ports with poor and inadequate facilities delay the process of loading and unloading
futher more water transport will slow down the process
Lake Tanganyika is found in a region of low economic value on both sides.Thus cannot be compared to lake Victoria as you say.
It's therefore difficult to carry out a joint construction of inland ports .Since both countries have more urgent priorities.
Mnachoongea hata hamkijui.Ni kipi nimejiaibisha? Au lazima uropoke Tu ilivyo ada kwenu?. Ndio nimekwambia Congo inahitaji zaidi ya Tanzania Kwanza Kwanza hizo barabara zitapita wapi ? Maana pale kuna ziwa labda mdevelop water transport na Congo ama mtumie Burundi au Rwanda kuaunganisha.
Wea cha hizo kuna kamati zinakutana kumaliza hayo matatizo,na kwambia baada ya muda utaona mabadiliko makubwa .Kwanza TRC wanablock treni ya moja kwa moja kwenda kigoma maana yake wafanyabishara wa DRC wanaweza kushusha kontena zao zikapakiwa mpaka Kigoma then kwenye meli mpaka bandari za DRC.Na hii terni inatumia siku 2 tuu mpka kigoma.Na Kama mnafanya biashara na hizi Nchi zote, mbona bado mko kundi la LDC 2019??? Tz ina kasoro fulani bado najaribu kuelewa kieleweke.
Mnachangamkia DRC baada ya kuona Kenya imechangamka yani nyinyi no reactive si proactive kwa biashara yani mpaka muige wenzenu babkubwa.
Napafahamu pote huko mkuu, wala wasikupe shida hawa nyang'au washaumia.Tunaweza kufikisha mizigo yao kuanzia Kalemie na Uvira pia maana wanabandari kule kama Kigoma
Si mpo wote sadc , mlikua mnasubiri waje EAC ndio mchangamkie fursa? Kama mlishindwa kipindi kile hata hichi kipindi hamtaweza.Mnachoongea hata hamkijui.
Sikia hii.
Upande wa DRC kuna Bandari zifuatazo
UVIRA
BARAKA
MOBA
KALEMIE
Upande wa kuna TANZANIA (Major)
KIGOMA
KASANGA
ndogondogo 15+
Kagunga
Sigunga
Kipili
Kala
Kalema
Sibwesa
Zingine sizikumbuki
Meli zilizopo.
MV LIEMBA
MV MWONGOZO
Zipo zingine za Wacongoman na warundi
Umbali kati ya Tz na drc ni kama Kajiado na Kitengera au Basi Sirare na Migori
Yule hana lolote.ila ajipange ugomvi na shoga yake kweli nimeamini sasa tumeanza kujaribu kuwa na permanent interest na sio permanent friend as long uchumi utasogea!
Kulikua na vita, mbona ninyi hamfanyi biashara na Somalia au South Sudan?Si mpo wote sadc , mlikua mnasubiri waje EAC ndio mchangamkie fursa? Kama mlishindwa kipindi kile hata hichi kipindi hamtaweza.
[emoji23][emoji23][emoji23]East African Community tutaongea ki-lingala, loboko lobii papaa, ni juu ya nini, mutu ya mbuyi mayi, nguvu ya mamba iko kummayi
Nenda south Sudan uone kampuni za Kenya zilivyowekeza kule we control financial services in south Sudan, Somalia pia kuna biashara za mpakani pale , mbona Sisi tunafanya tu biashara na DRC ?.Kulikua na vita, mbona ninyi hamfanyi biashara na Somalia au South Sudan?
Wewe ninahisi dish lako limeyumba, hata DRC na Tanzania kuna biashara zinafanyika, DRC ndio wanaongoza kwa kusafirisha mzigo wa Shaba ktk bandari ya Dar. Sisi tunachozungumzia ni serikali ya Kenya na Somalia au South Sudan kuanza kuzungumzia na kujenga barabara au reli ili watu na Mizigo waweze kwenda. Hizi biashara zinazofanyika sasa hivi ni kwa watu wachache wenye kujitoa muhanga ktk hiyo mipaka ya Somalia na South Sudan.Nenda south Sudan uone kampuni za Kenya zilivyowekeza kule we control financial services in south Sudan, Somalia pia kuna biashara za mpakani pale , mbona Sisi tunafanya tu biashara na DRC ?.
Kukosa mpaka wa ardhi kuunganisha kwa road ni hindrance kubwa sana ziwa sio efficient so kenya na Tzn zitafaidi kupitia Uganda,rwanda,Burundi na ZambiaNi kipi nimejiaibisha? Au lazima uropoke Tu ilivyo ada kwenu?. Ndio nimekwambia Congo inahitaji zaidi ya Tanzania Kwanza Kwanza hizo barabara zitapita wapi ? Maana pale kuna ziwa labda mdevelop water transport na Congo ama mtumie Burundi au Rwanda kuaunganisha.
True coz northern and southern Congo ndio potential but area bordering lake Tangangika hamna kitu na hakuna miji ya biasharaFor Tanzania to increase it's trade with DRC you must develop ports with adequate facilities on both side of the lake.
Ports with poor and inadequate facilities delay the process of loading and unloading
futher more water transport will slow down the process
Lake Tanganyika is found in a region of low economic value on both sides.Thus cannot be compared to lake Victoria as you say.
It's therefore difficult to carry out a joint construction of inland ports .Since both countries have more urgent priorities.
Sawa zinajengwa lakini tambua kwamba ukanda wa mwambao wa ziwa Tangangika hauna biashara wala economic Value yoyote kwa pande zote,hizo bandari zinasafirisha mahindi mchele na cement tuu ndio maana hakuna miji mikubwa mwambao mwa ziwaTukifanikiwa kufikisha SGR KIGALI tuu Congo itafika tuu wale jamaa zetu wataula wa chuya.Na kwa sasa hizi bandari zinanazojengwa kwenye ziwa Tanganyika ni balaa sana.JPM si mtu wa mchezo mchezo aisee.Bandari zinajengwa kuanzia Sumbawanga,mpanda na Kigoma ili kurahisisha usafiri Ziwani
Muhimu ni better means of transportation, kumbuka usafiri wa maji ndio the cheapest means of transport, mbona Dar na Zanzibar kuna biashara kubwa kuliko Dar na Tanga au hata Dar na MOROGORO?Kukosa mpaka wa ardhi kuunganisha kwa road ni hindrance kubwa sana ziwa sio efficient so kenya na Tzn zitafaidi kupitia Uganda,rwanda,Burundi na Zambia
Kutakuwaje na biashara wakati usafiri haukuwepo?. Lazima kuwepo na mazingira bora ya kufanya biashara, usafiri wa uhakika ambao ni bei rahisi ni kichocheo kikubwa sana katika kukuza biashara, utaanza kuona wakulima wa Mahindi wa Sumbawanga wataanza kupeleka mahindi wenyewe upande wa Congo.Sawa zinajengwa lakini tambua kwamba ukanda wa mwambao wa ziwa Tangangika hauna biashara wala economic Value yoyote kwa pande zote,hizo bandari zinasafirisha mahindi mchele na cement tuu ndio maana hakuna miji mikubwa mwambao mwa ziwa
Yaani miji ya sumbawanga na mpanda ni mikubwa sana kuliko vijiji vya kaleimie na moba sasa sioni kuimarika kwa biashara labda interior big towns za congo ziwe poa
Pili kaskazini na kusini mwa drc ndio kuna mali
Kujibu swali lako rejea comment yangu hapo juuMuhimu ni better means of transportation, kumbuka usafiri wa maji ndio the cheapest means of transport, mbona Dar na Zanzibar kuna biashara kubwa kuliko Dar na Tanga au hata Dar na MOROGORO?