Na Kama mnafanya biashara na hizi Nchi zote, mbona bado mko kundi la LDC 2019??? Tz ina kasoro fulani bado najaribu kuelewa kieleweke.
Mnachangamkia DRC baada ya kuona Kenya imechangamka yani nyinyi no reactive si proactive kwa biashara yani mpaka muige wenzenu babkubwa.