DRC yaombwa kuiomba maongezi M23 kwa maandishi

DRC yaombwa kuiomba maongezi M23 kwa maandishi

MBOKA NA NGAI

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2025
Posts
350
Reaction score
576
1741879867461.png


Hata hivyo, upande wa M23 kwa sasa haujamtambua Felix kama rais wa nchi, bali kama Mr. tu. Hili lina maana yake huko mbele.
 
View attachment 3269394

Hata hivyo, upande wa M23 kwa sasa haujamtambua Felix kama rais wa nchi, bali kama Mr. tu. Hili lina maana yake huko mbele.
Haha m23 washaanza kuchanganyikiwa watu mhhh kimya kimya wanakimbiza mwizi huyo anaingia mwenyewe kituo cha polisi watu wanaingia polisi jamani tupeni nduhu yetu huyu huwa ni mgonjwa wa akili kimya kimya watamaliza kusema yote. Hivi kweli m23 ndio wa kukumbishia mazingumzo ya Dar leo hii itakuwa maji yanazidi unga sio bure .
 
M23 pamoja na ushindi wao kwenye Battlefield wajishushe ili AMANI ipatikane Mashariki mwa Kongo DRC.
 
M23 pamoja na ushindi wao kwenye Battlefield wajishushe ili AMANI ipatikane Mashariki mwa Kongo DRC.
Kuna shida, kifupi wanakosa kuungwa na jamii ya nje...kwa sasa ina maana wamewashinda nchi kadhaaa kwa aibu
 
Back
Top Bottom