UNAJUA UKISHAANZA KUZEEKA HATA NGOZI INAKUSALITI. VIJANA WANAMUDU MKUU. WEWE NI WA KUPUNGUZA NYWELEπππNi nzuri,huwa naona zinampendeza kila mtu
Tatizo lake ni zinaumaaaaaaaa,nilishasuka mara moja nikadumu nazo kama siku tano tu
Sijui wale wanaokaa nazo miezi na miezi wanawezaje kuvumilia yale maumivu
Ni nzuri,huwa naona zinampendeza kila mtu
Tatizo lake ni zinaumaaaaaaaa,nilishasuka mara moja nikadumu nazo kama siku tano tu
Sijui wale wanaokaa nazo miezi na miezi wanawezaje kuvumilia yale maumivu
Dread locks zinaongeza komwe jamani π€£π€£Ni nzuri,huwa naona zinampendeza kila mtu
Tatizo lake ni zinaumaaaaaaaa,nilishasuka mara moja nikadumu nazo kama siku tano tu
Sijui wale wanaokaa nazo miezi na miezi wanawezaje kuvumilia yale maumivu
Ni kweliUNAJUA UKISHAANZA KUZEEKA HATA NGOZI INAKUSALITI. VIJANA WANAMUDU MKUU. WEWE NI WA KUPUNGUZA NYWELEπππ
Zinaoshwa, ila hapo itategemea na u smart wa mtu na pochiYaani miezi na miezi kwa nywele za kuunga! Vipi kuhusu kuosha kichwa?
Kwa hiyo ndio maana Lauryn Hill ana watoto saba?Habarini wakuu,
Nimewakumbuka,
Kwanza nafaurahi kurudi JF baada ya muda,
Twende kwenye mada tajwa hapo juu, ni ukweli kwamba dread locks ni nywele nzuri hasa kwa wanaojua kuzitunza na zinawapendeza.
Lakini dread locks sio kila mtu zinampendeza zinachagua uzuri wa sura, yani kuna wadada wako kama vikongwe kisa tu dread locks, sura zimewakomaa.
Ni vizuri kujijua kuwa unapendeza na aina gani ya nywele, kwenda na wakati huku wanashindwa kuangalia sura zao, hiihupelekea kupoteza muonekano.
Mwisho dread locks ni nywele nzuri ila sio kila mtu zinampendeza
Wanaosha na kurepair kila zikifumukaYaani miezi na miezi kwa nywele za kuunga! Vipi kuhusu kuosha kichwa?
Maana nilistuka juu ya suala zima la harufu..Zinaoshwa, ila hapo itategemea na u smart wa mtu na pochi
Hahahahaha hata ile siku ya kwanza unatoka kuzisuka...sura inang'aaaDread locks zinaongeza komwe jamani π€£π€£
Wakitokaga kuzitreat komwe linawamba kinyamaaa.
Sasa ukute una nywele chache mbele, ndiyo huko kuzeeka mtoa mada anakosemea.
Ni jinsi wanavyostyle. Unakuta mtu ana kabichwa kabayaa anavuta nywele style ya ajabu kama mdudu.Dread locks zinaongeza komwe jamani π€£π€£
Wakitokaga kuzitreat komwe linawamba kinyamaaa.
Sasa ukute una nywele chache mbele, ndiyo huko kuzeeka mtoa mada anakosemea.
Kuna mtu yan uwa natamani hata kumwambia ziondoe π€£π€£[emoji1787][emoji1787][emoji1787] umeonaee
Hivi ule ung'aaji wa sura si hutokana na kuvutwa kwa ngozi! Sasa vipi mtu akiacha kutumia hizo dreadlocks sura si huporomoka kama uji wa mshumaa?Hahahahaha hata ile siku ya kwanza unatoka kuzisuka...sura inang'aaa