Dread locks zinavyofanya wadada wazeeke sura

Dread locks zinavyofanya wadada wazeeke sura

Kweli dread zinafanya muonekano fulani kama wakiutuuzima ila uwezi amini uo meonakano ndio uzuri wenyewe wa dread locks muonekano huo awe anavaa miwani aisee wananivutia.

Mfano mzuri tuseme Grace Matata ule muonekano wa kizee fulani wa dread ndio uzuri wa dread
Wenye dread tunaovaa miwani ya macho ndio tunasifiwa tujipigie makofi, au wanaovaa ya jua?😃🤔🙈🤸‍♀️
 
Habarini wakuu,

Nimewakumbuka,

Kwanza nafaurahi kurudi JF baada ya muda,

Twende kwenye mada tajwa hapo juu, ni ukweli kwamba dread locks ni nywele nzuri hasa kwa wanaojua kuzitunza na zinawapendeza.

Lakini dread locks sio kila mtu zinampendeza zinachagua uzuri wa sura, yani kuna wadada wako kama vikongwe kisa tu dread locks, sura zimewakomaa.

Ni vizuri kujijua kuwa unapendeza na aina gani ya nywele, kwenda na wakati huku wanashindwa kuangalia sura zao, hiihupelekea kupoteza muonekano.

Mwisho dread locks ni nywele nzuri ila sio kila mtu zinampendeza

Hivi kisogo ndio sura siku hizi?
 
Kutunza usafi wake n shughuli[emoji3]nawashauri tu wasiweke dread
Kweli shughuli na ukitaka ziwe safi ni mateso fulani kwakweli. Mfano kuna ile weekend unajisikia kukaa home tu. Ila ukiwaza usipoenda salon ukitokea tu job uko kama kichaa..basi inakubidi tu uende😀🙈
 
Ni nzuri,huwa naona zinampendeza kila mtu

Tatizo lake ni zinaumaaaaaaaa,nilishasuka mara moja nikadumu nazo kama siku tano tu
Sijui wale wanaokaa nazo miezi na miezi wanawezaje kuvumilia yale maumivu
Issue ni nani anazifanyia lock, huyo ndio mchawi wa yote. Dread hasa za mbele haziitaji kubanwa sana wakati wakuzi lock.

Mimi kama mdada hana dread natural basi awe na low cut tofauti na hapo kanipita kushoto sana.
 
Back
Top Bottom