Hongera sana, karibu team NaturalJamani nimeanza kusokota dread
Asante. Yani sijui nitabana lini?Hongera sana, karibu team Natural
Ha ha ha sahivi usiwaze kubana waza zitashikana lini make hapo napo huwa pagumu kidogo waweza kata tamaa, ila tu usiwe mvivu kuhudhuria saloon, kama nywele zako zinakua fasta zikishikana tu kubana ni easyAsante. Yani sijui nitabana lini?
Huyu abasi yuko mwenge sehemu gani. Mara nyingi natengeneza kwa Fita.. Sinza kumekucha. But natamani kuwa na alternative nyingi hasa muda wangu ukiwa umebana.
Na huwa ana watu wengi sana?
Hongera utafika tu.. Mi nakaribia kubana kimchichaJamani nimeanza kusokota dread
Tena uvumilivu wa hali ya juu.. Mi nilianza nikanyoa nikaanza tena Sasa nna mwaka na miezi kama 2Ha ha ha sahivi usiwaze kubana waza zitashikana lini make hapo napo huwa pagumu kidogo waweza kata tamaa, ila tu usiwe mvivu kuhudhuria saloon, kama nywele zako zinakua fasta zikishikana tu kubana ni easy
Hongera sana, mie zikibana zitanipa uchizi ha ha ha make hapa tu napagawa lolTena uvumilivu wa hali ya juu.. Mi nilianza nikanyoa nikaanza tena Sasa nna mwaka na miezi kama 2
Hongera sana, mie zikibana zitanipa uchizi ha ha ha make hapa tu napagawa lol
Napenda uniwhatsap nizione hzo za mwaka na miezi m2 pls TATIANATena uvumilivu wa hali ya juu.. Mi nilianza nikanyoa nikaanza tena Sasa nna mwaka na miezi kama 2
Uzuri dreads zinakua fasta, kulikoni kwanini ulinyoa?Hahaha hahhahahah.. Asante Sana.. Hongera na wewe... Zitabana tu hizi zinataka subira... Ningekuwa sikunyoa Sasa zingeuwa naw miaka 3
Mmhh whatsapp tena!!!!!! [emoji15] [emoji15]Napenda uniwhatsap nizione hzo za mwaka na miezi m2 pls TATIANA
Niliona eti zinachelewa, maana sipendi mawigi so nikawa najiona nipo rough maana nilikuwa too busy kwenda salon mara kwa mara.Uzuri dreads zinakua fasta, kulikoni kwanini ulinyoa?
Ha ha ha ha ha mmmhNapenda uniwhatsap nizione hzo za mwaka na miezi m2 pls TATIANA
Yani usipoenda saloon wiki mbili kichwa hakitamanikiNiliona eti zinachelewa, maana sipendi mawigi so nikawa najiona nipo rough maana nilikuwa too busy kwenda salon mara kwa mara.
Unaamka asubuhi ukijiangalia kichwani unatamani unatamani ulie... Ha ha haYani usipoenda saloon wiki mbili kichwa hakitamaniki
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mpotoMpoto..dk remmy...cute.?
Napenda uniwhatsap nizione hzo za mwaka na miezi m2 pls TATIANA