Dream League Soccer Special Thread

Kiande naomba uwapange na nduguzo kbs leo nitakuwepo hapa kuanzia mishale ya saa 4 nitakuwa nagawa dozi

King mwenyew wa dls ndani ya jf
Kuweka rekodi sawa ,siku ya mwisho mbabe nilikuwa mimi kwa hiyo nitaendeleza pale nilipoishia .
 
Kuweka rekodi sawa ,siku ya mwisho mbabe nilikuwa mimi kwa hiyo nitaendeleza pale nilipoishia .
Unaona unavyoropoka, ulikuwa mbabe kwa lipi?

Wakat we ndo uliekula mbio nikiwa naongoza
 
Unaona unavyoropoka, ulikuwa mbabe kwa lipi?

Wakat we ndo uliekula mbio nikiwa naongoza
Hizi dharau kwa Master wako chunga sana , siku ya a mwisho simu ilizingua ikawa lila.mechi haiishi unakataa kabla ya siku hiyo ilikuwa droo kila mtu kashinda gemu 3 ila mimi ushindi kutokana na magoli coz nilikupa kichachapo kikali cha goli nyingi siku hiyo .
 
Wewe nakufunga huku nimefunga kitambaa machoni bila tabu yeyote, nitakustua nikuaibishe niweke screenshots humu.
Kiande umefanyiwa ukatili wa kutosha sana na vijana wa Mafia Soccer Power

Huyu ni mtot Vini Jr ambae akitumika kama supersup tazama goli la kideo hilo[emoji23][emoji23]
 
Wewe nakufunga huku nimefunga kitambaa machoni bila tabu yeyote, nitakustua nikuaibishe niweke screenshots humu.
Lapuga mfalme wa soka ndo alifanya kama kakukodi leo[emoji23][emoji23]

Na hili miongoni mwa magoli yake
 
Itoshe kusema Mafia Soccer Power is the biggest jf team

Hakika kipa wako leo alinyanyasika

This is Haaland goal
 
Kuanzia leo ukitak mech sema nataka nijitetee Master[emoji1545][emoji1545]

Ndo nitakuelewa tena baada ya kujifua sana
 
Kiande umefanyiwa ukatili wa kutosha sana na vijana wa Mafia Soccer Power

Huyu ni mtot Vini Jr ambae akitumika kama supersup tazama goli la kideo hilo[emoji23][emoji23]View attachment 2636064
Kijana ushindi wa siku moja umekulevya unaanza kuvuka mipaka ,sasa nakuja kusambaratisha kabisa kikundi chako cha wahuni .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…