Njoo chapMfalme nipo hapa
Leo umejavagaa nilikuwa nakutafuta mchana kukiwa huakuna shida za kimtandao.Mfalme nipo hapa
Kwa hiyo mchana ndio unaweza cheza?Leo umejavagaa nilikuwa nakutafuta mchana kukiwa huakuna shida za kimtandao.
Vp kiande, nimekupa mda wa kutosha unaweza kufanya comeback ya kibabe?Kijana ushindi wa siku moja umekulevya unaanza kuvuka mipaka ,sasa nakuja kusambaratisha kabisa kikundi chako cha wahuni .
Master wa uzi nitakuwepo leo hapa mishare ya saa 4 kugawa doziMbabe wa DLS aje nimkande
Nakusubiri Kwa hamuMaster wa uzi nitakuwepo leo hapa mishare ya saa 4 kugawa dozi
Master gani Singasinga kakupa dozi kali haujashinda mechi hata moja halafu unapata nguvu ya kujiita Master wakati Looser ?Master wa uzi nitakuwepo leo hapa mishare ya saa 4 kugawa dozi
Njoo onlineMaster gani Singasinga kakupa dozi kali haujashinda mechi hata moja halafu unapata nguvu ya kujiita Master wakati Looser ?
Huna lolote Leo utajuta
Huwa inatokea ktk game, mbona kama unakuwa mshamba wa football wwMaster gani Singasinga kakupa dozi kali haujashinda mechi hata moja halafu unapata nguvu ya kujiita Master wakati Looser ?
Hata mimi wewe kunifunga ni ajali asili ni mimi kutoa kipondo.Huwa inatokea ktk game, mbona kama unakuwa mshamba wa football ww
Now sipo mazingira mazuri ila nitakutafuta.Njoo online
Nakuomba usikimbie tafadhari, master natak nitoe kipondo cha aibuHuna lolote Leo utajuta
PoaNow sipo mazingira mazuri ila nitakutafuta.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Bora usepe Leo unakutana na zombieNakuomba usikimbie tafadhari, master natak nitoe kipondo cha aibu
Kila siku unavunjwa huoni aibu kusema hivyoHata mimi wewe kunifunga ni ajali asili ni mimi kutoa kipondo.
Upo?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Bora usepe Leo unakutana na zombie