Kama mbabe wako Singasinga ambaye toka uzaliwe mechi kibao haujawahi kumfunga mimi ninamudu kumfunga vizuri bado hauniheshimu kwa kukupa hadhi ya kumfunga mbabe wako ?
Huyu staiker umetoa timu gani ?
😂😂😂😂Huyu staiker umetoa timu gani ?
Marefa wa Kike wasiwepo uwanjani akimtizama tu jua ameisha kimasihara is loading...😂😂😂😂
Yani ikiwa una screenshot ya mim kufungwa unakosaje screenshot ya wew kumfunga Singasinga?!!?Kama mbabe wako Singasinga ambaye toka uzaliwe mechi kibao haujawahi kumfunga mimi ninamudu kumfunga vizuri bado hauniheshimu kwa kukupa hadhi ya kumfunga mbabe wako ?
Kitaalamu mimi ndio mtetezi wa huu uzi ndio maana najiita Master kwa maana siruhusu hata mgeni atawale hata awe mbabe vipi atapigwa kuliko wewe unacha mtu achukuke ujiko .
Cheki hii dharau Singasinga amekufanyia statistics kwako sifuri na kipondo juu ndio maana nakusaidia kumkanda mbabe wako bado hauniheshimu why ?
View attachment 2662081
DR SANTOS
Weka screenshot uliyomfunga singasinga nanunua .Yani ikiwa una screenshot ya mim kufungwa unakosaje screenshot ya wew kumfunga Singasinga?!!?
Nb
Hiyo screenshot sikufungwa na Singasinga na kwasasa hana uwezo wa kunifunga tena
Jamaa nilicheza nae mbili moja nimefunga moja kashinda sikuweza kuchukua ila akija hawezi kubisha kuwa alifungiwa ndio mama nikamtag kwa kujiamini.Yani ikiwa una screenshot ya mim kufungwa unakosaje screenshot ya wew kumfunga Singasinga?!!?
Nb
Hiyo screenshot sikufungwa na Singasinga na kwasasa hana uwezo wa kunifunga tena
[emoji16]Yani ushindi wa matuta tena kwa kuokolewa na uchovu wa usingizi ndo unakuja kutambaJamaa nilicheza nae mbili moja nimefunga moja kashinda sikuweza kuchukua ila akija hawezi kubisha kuwa alifungiwa ndio mama nikamtag kwa kujiamini.
Nikitoka humu mtaonewa sana na wageni maana hakuna mgeni mbabe lazima nimnyooshe mimi kweli Master fulani likubwa hivi
We kweli kiande [emoji23][emoji23][emoji23][emoji119]Jamaa nilicheza nae mbili moja nimefunga moja kashinda sikuweza kuchukua ila akija hawezi kubisha kuwa alifungiwa ndio mama nikamtag kwa kujiamini.
Nikitoka humu mtaonewa sana na wageni maana hakuna mgeni mbabe lazima nimnyooshe mimi kweli Master fulani likubwa hivi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji16]Yani ushindi wa matuta tena kwa kuokolewa na uchovu wa usingizi ndo unakuja kutamba
Sasa umejikosea tukikutana naua.
Mechi nzima nimekupeleka mputa mputa na kukukusa magoli ya wazi kibao .[emoji16]Yani ushindi wa matuta tena kwa kuokolewa na uchovu wa usingizi ndo unakuja kutamba
Sasa umejikosea tukikutana naua.
Hii ninazo nyingi za kukufunga 6 kama uchafu weka ambayo imezidi hiyo hapo mimi sina.Tupate matangazo mafupiView attachment 2662137
Nenda play store andika tu dream league itakujaNipeni Link nidownload tena wakuu
Sio hili la 2023 lknmi niliwahi kufanya janjajanja nikapata coins more than 43000000000 ni kusajili tu mda wote na wachezaj wote wakubwa ninao wengine nawaupdate to infinity