Singasinga
JF-Expert Member
- Aug 27, 2011
- 2,711
- 3,279
Sio official hilomi niliwahi kufanya janjajanja nikapata coins more than 43000000000 ni kusajili tu mda wote na wachezaj wote wakubwa ninao wengine nawaupdate to infinity
[emoji16]Fene shida yake anataka kupishana namimiMechi nzima nimekupeleka mputa mputa na kukukusa magoli ya wazi kibao .
Halafu WC 2022 bingwa alipatikana vipi ? lazima nitambe nimejufunza bila kujalish maana Fene tokea azaliwe hajawahi kutoa hata sare dhidi yako.
Nataka ile ya 2019Nenda play store andika tu dream league itakuja
Nataka ile ya 2019
Nimeipata mkuu, ahsante sanangoja nikutumie apk file
sahiz tu sina nitakuonyeshaSio official hilo
LeteNani yuko Online anipe Code dk hii nimpige za Uso kwanza
Beki 5 mbele watu wa spidi ni kaunta tu ,tatizo kikosi changu hakina nyota wachache players hawamatch ndio maana najilinda zaidi maana huku nikitegemea kaunta naona nikishambulia wanapokonywa mipira kirahisi nikicheza na watu wanaojua ila kwa Fene sina sababu ya kudefense kutokana na kiwango chake[emoji16]Fene shida yake anataka kupishana namimi
Afadhali yako hata wewe umeamua kubaki uwani unatuma tu mwewe.
Fene kwa nini unakuwa Kiande kiasi hiki ?adriz na wengineo wa hili jukwaa
Huyu mtu namuua anafufuka,nimfanyaje afe jumla[emoji21]View attachment 2666812
Sikumbuki kwa kweli
Ati unasema nin?,[emoji23][emoji23]
Tatizo tukipiga moja unakimbia, tupige kama 3 hivadriz na wengineo wa hili jukwaa
Huyu mtu namuua anafufuka,nimfanyaje afe jumla[emoji21]View attachment 2666812
Tupige battle moja ya mwisho iwe mechi 5 ukishinda hapo nitakubali kuwa mm ni mnyinge.Jana bahati imekuokoa, ktk mashut yangu 7 nimekosa magoli ya waz mengi hili mwenyew naamin unathibitisha kama utakataa ni ubishi tu
Note hii kauli "soon utakuwa mnyonge wangu kama adriz "
[emoji23][emoji23][emoji23]Tupige battle moja ya mwisho iwe mechi 5 ukishinda hapo nitakubali kuwa mm ni mnyinge.
hahahahahaahhAnayejua ku hack huu mchezo anisaidie aseee.
Ninafungwa balaaa. [emoji22]