Wewe mzee acha maneno mengi nifunze jinsi ya kuhack banahahahahahaahh
we ulizoea lile game la zamani la kuhack! hapa inabidi ujifunze vitu vingi kama vile skills, kupiga kona, penati, faulu na kupiga chenga...
pia lazima ujifunze staili ya kucheza mpira kwa mfano mimi hua napenda sana mpira wa pasi nyingi hadi mpinzani ana quite mwenyewe game... [emoji23]
Lakini kitu cha mwisho jitahidi usajili wachezaji wenye rate ya 80+....
cha mwisho kama hujanielewa zaidi nipe code ujifunze mautundu kwa vitendo
kuhack najua kwenye game lile la zamani hili la sasa sijui.... lakini pia kuhack game haitakufanya uwe champion, champion wa kweli hupatikana kwa kuwapiga machampion waliopo sio kuwauaWewe mzee acha maneno mengi nifunze jinsi ya kuhack bana
Aaah. Unazingua asee hujui ku hack kweli haya maniaje?kuhack najua kwenye game lile la zamani hili la sasa sijui.... lakini pia kuhack game haitakufanya uwe champion, champion wa kweli hupatikana kwa kuwapiga machampion waliopo sio kuwaua
labda wewe uniambie kama unajua... mimi kwa sasa sioni hata faida ya kuhack maana niko levo ya juu na nashinda navotaka coz nilijifunza kucheza kwa kupress nina wachezaji naowapenda sa nahack ili iweje?Aaah. Unazingua asee hujui ku hack kweli haya maniaje?
Hili la online hakuna kuhack.. ni kupambana tuu...Wewe mzee acha maneno mengi nifunze jinsi ya kuhack bana
Kikosi chako kilikuaje kwani???Hili la online hakuna kuhack.. ni kupambana tuu...
Nimebadili simu juzi nikasahau kuconnect data nikapoteza kikosi changu...
Nimeanza upya kutengeneza tena kikosi
Unajifunzaje maana mimi sijawshi kuhudhuria training yoyote ile. 😶labda wewe uniambie kama unajua... mimi kwa sasa sioni hata faida ya kuhack maana niko levo ya juu na nashinda navotaka coz nilijifunza kucheza kwa kupress nina wachezaji naowapenda sa nahack ili iweje?
Unaweza hack ukawa na machezaji yenye rate kubwa ila kama hujui kucheza kichapo kiko palepale [emoji23] JIFUNZE KUCHEZA MKUU...
Wote walikuwa na 90+Kikosi chako kilikuaje kwani???
Uliouwa na mastaa wangapi.?
soma post yangu ya jana majibu yote yapo humoUnajifunzaje maana mimi sijawshi kuhudhuria training yoyote ile. [emoji55]
Daaaah imeniuma ila sio mimi. Pole mkuuWote walikuwa na 90+
Nipe post number yake.soma post yangu ya jana majibu yote yapo humo
mi sipendi kikosi changu kiwe na 90+ ambayo hapo kiuhalisia umewafanyia wachezaji manuva....Wote walikuwa na 90+
Penseli 4 injinia soma hiyohahahahahaahh
we ulizoea lile game la zamani la kuhack! hapa inabidi ujifunze vitu vingi kama vile skills, kupiga kona, penati, faulu na kupiga chenga...
pia lazima ujifunze staili ya kucheza mpira kwa mfano mimi hua napenda sana mpira wa pasi nyingi hadi mpinzani ana quite mwenyewe game... [emoji23]
Lakini kitu cha mwisho jitahidi usajili wachezaji wenye rate ya 80+....
cha mwisho kama hujanielewa zaidi nipe code ujifunze mautundu kwa vitendo
Amna ukianza pambana kufikisha uwanja uwe wa watu 90K basi. Baada ya hapo gemu moja unaweza kupata 250 baada ya kuview ads.. hasa ikiwa game ya nyumbaniDaaaah imeniuma ila sio mimi. Pole mkuu
Sasa uliwezaje kufikia 90+ bila ku hack au ulikuwa unalicheza kwa muda mrefu sana?? 😶
Ukienda live match tier tano nne mpaka moja hutoboi wahuni wanapiga hatariiimi sipendi kikosi changu kiwe na 90+ ambayo hapo kiuhalisia umewafanyia wachezaji manuva....
mi rate zate zangu ni 82+
Sasa stadium kuwa na 90k si inamaana utakuwa elite division kwenye timu ngumu.Amna ukianza pambana kufikisha uwanja uwe wa watu 90K basi. Baada ya hapo gemu moja unaweza kupata 250 baada ya kuview ads.. hasa ikiwa game ya nyumbani
🤣🤣🤣🤣 Aaah kweli asee mi jana nimepigwa 4 mkuuUkienda live match tier tano nne mpaka moja hutoboi wahuni wanapiga hatariii
ni kweli hua naishia tie 6 ila najipanga bado ntatoboa tuUkienda live match tier tano nne mpaka moja hutoboi wahuni wanapiga hatariii
Labda kama unajua kukaba sawaaa.... Utakuwa safemi sipendi kikosi changu kiwe na 90+ ambayo hapo kiuhalisia umewafanyia wachezaji manuva....
mi rate zate zangu ni 82+
Wahuni wanabonda sio pow🤣🤣🤣🤣 Aaah kweli asee mi jana nimepigwa 4 mkuu