Hemedy rashidy
JF-Expert Member
- Oct 31, 2021
- 244
- 147
Nakutaka wewe mwenye mdom mdom emu njoo dlsWewe bado underground [emoji16][emoji16] players wangu % kubwa Wana 84 +
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nakutaka wewe mwenye mdom mdom emu njoo dlsWewe bado underground [emoji16][emoji16] players wangu % kubwa Wana 84 +
Ieta hiyo link ya kudowloadia la offlineHili ninali licheza mm sio la online ukitak la online pia lipo wamelito la qatar yani hilo hukucheza utasema praystation4 umeiweka kweny cm unachagua mpaka style ya mchezaji kushangilia
Njoo mzee Acha maneno professional nimekuja kuteteaut9t king hum ni check halaf uje uwahadisie wenzio 0762407301 tuma text 2Kwa wasiofahamu, mim ndie Master humu nimewa-rise wengi humu katika ulimwengu wa dream hadi leo nao wana sauti wakiwemo adriz Singasinga na wengineo
Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
Sipo available now, nitakuchekNjoo mzee Acha maneno professional nimekuja kuteteaut9t king hum ni check halaf uje uwahadisie wenzio 0762407301 tuma text 2
Ingia pray storeIeta hiyo link ya kudowloadia la offline
Vp kwa simu ya ram 2 inaweza support?
Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
Boss nakutak wewe sihitajii hao regular nikishakukanda natak uje uhadisie mwenyewe humu kwamb umekutana na PRO[emoji419]Sipo available now, nitakuchek
Ila ukicheza na adriz au Singasinga na wakikufunga basi usisumbuke kucheza na mim tena maana unatafuta kustaafu dream kwa lazima
Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
Kiande adriz naomba unikandie huyu janjaBoss nakutak wewe sihitajii hao regular nikishakukanda natak uje uhadisie mwenyewe humu kwamb umekutana na PRO[emoji419]
Nakutaka wewe kiande[emoji419] mkubwa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kiande adriz naomba unikandie huyu janja
Haujawahi niangusha master wako nikikupa mission, ifanye kazi yako kwa weredi nikuengeze nyota nyingine leo
Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
Nilimaanisha ya usiku ,tutafutane Saa 4 usiku leo panapo majaaliwa tumalize ubishi.Tayar mshakimbia mitini
Acha kujifarishi kizembe endelea kunikimbia ,halafu niliyemfunga Singasinga kila siku anakuoa kipigo cha aibu mimi nimekulipia kisasi.Nimefurahi sana kuona mwanafunz wangu kuniwakilisha vyema,
Nimefarijika sana at least now unaonesha unaweza leta upinzani
Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
Toa appreciation kwa watu na hiyo ndio kawaida ya mabingwa yaani akifungiwa au kuzidiwa anakubali ,mfano singasinga kila siku anakufunga kipigo cha aibu leo unathubutu kusema umemrise ?Kwa wasiofahamu, mim ndie Master humu nimewa-rise wengi humu katika ulimwengu wa dream hadi leo nao wana sauti wakiwemo adriz Singasinga na wengineo
Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
Hizi comments zako utakuja kujutia ,Saa 4 usiku panapo majaaliwa nitakutext mimi ndio nafunga watu mdomo jukwaa hili .Naona sasa unataka kuvuka mipaka kitu ambacho mimi kama Master wa humu siwezi kukubali.Njoo mzee Acha maneno professional nimekuja kuteteaut9t king hum ni check halaf uje uwahadisie wenzio 0762407301 tuma text 2
Umetaka kujiaibisha ngoja nitulie nianze kupekua humu bahati nzuri uzi hauna comments nyingi hivyo ni kazi ndogo kutafuta hiyo post niliyokupiga kipigo kikali na nyingine uliyofungwa ukakimbia na member mmoja humu.
Umewah kucheza dream league?Fifa ndo game zuri kuliko lolote kweny cm
Bhs Sw nitakuwepoNilimaanisha ya usiku ,tutafutane Saa 4 usiku leo panapo majaaliwa tumalize ubishi.