Hemedy rashidy
JF-Expert Member
- Oct 31, 2021
- 244
- 147
Yanii huyo ndo ananikimbia akiskia 2 jina langu anatoka online muda huo huo namtamanii kinomaaaFene umewah cheza na hemedy rashidi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yanii huyo ndo ananikimbia akiskia 2 jina langu anatoka online muda huo huo namtamanii kinomaaaFene umewah cheza na hemedy rashidi?
Mtag huyo jamaa hanahadhi ya kuwa jukwaa hili ananiabisha Master wa humu , ila Mimi kwa vile ndio Master wait nitalipa manyanyaso waliopata .Hapana kaka nime play match 3 hakuna hat match moj aliyo nibahatisha utasema mtandao bro
Acha maneno ukinifunga kuna vocha yako niambie unatumia mtandao ganiiMtag huyo jamaa hanahadhi ya kuwa jukwaa hili ananiabisha Master wa humu , ila Mimi kwa vile ndio Master wait nitalipa manyanyaso waliopata .
Nakuonya utajuta kujiunga JF utachange mpaka ID ukithubutu kuja katika anga zangu.
Skills zako ukija kwangu sawa na unakuwa sawa na Kauzu Fc ya ndondo cup.Mimi sio kwamba najuwa game sana ila respect muhimu kila mtu ana skills zake so tusi mdharaw yoyte[emoji419]
Bora umenisemea master..Had goal 7 itakuwa simu yake mtandao ulikuwa unamsumbua
Acha uongo wewe nimekukanda game mbili au unabisha [emoji16]Hapana kaka nime play match 3 hakuna hat match moj aliyo nibahatisha utasema mtandao bro
Ngoja saa 4 usiku mpk na dkk 10 panapo majaaliwa kuwa online tumalize ubishi.Acha maneno ukinifunga kuna vocha yako niambie unatumia mtandao ganii
Na useme unatumia ID ganiii dls ili nikujuwe na nilete ushahidii humu baada ya kipigo maan watoto kama nynyii ndo nawapendaa welcome [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mtag huyo jamaa hanahadhi ya kuwa jukwaa hili ananiabisha Master wa humu , ila Mimi kwa vile ndio Master wait nitalipa manyanyaso waliopata .
Nakuonya utajuta kujiunga JF utachange mpaka ID ukithubutu kuja katika anga zangu.
Ngoja saa 4 usiku mpk na dkk 10 panapo majaaliwa kuwa online tumalize ubishi.Acha maneno ukinifunga kuna vocha yako niambie unatumia mtandao ganii
Nashukuru mwanafunzii wangu kwa kujitokeza maana nawapa dozii watu dls lkn maua yang hawanipiii twende kweny point nimekupiga match ngapiii ukitoa hizo 2 nilizo cheza chinii ya kiwango kwa kugundua ww ni regularAcha uongo wewe nimekukanda game mbili au unabisha [emoji16]
Bora umenisemea master..
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
We jamaa ulivokua unakamia Hadi unarambwa nyekundu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji28]Nashukuru mwanafunzii wangu kwa kujitokeza maana nawapa dozii watu dls lkn maua yang hawanipiii twende kweny point nimekupiga match ngapiii ukitoa hizo 2 nilizo cheza chinii ya kiwango kwa kugundua ww ni regular
Kufungwa Saba inatokea hata Liverpool alipigwa Saba na Aston villaKuwa tu muungwana kama ni sahihi kusema mtandao au uwezo ulizidiwa ili tukuongezee maujanja
Sure bro[emoji419]Kuwa tu muungwana kama ni sahihi kusema mtandao au uwezo ulizidiwa ili tukuongezee maujanja
Nakupa match 3 za mwisho nataka ulete ushaidii mwenyew na usipo leta ushahidii bc ctokupa chance ya ku play na mimi twende nakusubirii mtot akililia wembe mwache umkateWe jamaa ulivokua unakamia Hadi unarambwa nyekundu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji28]
Point yangu kubwa ni kupinga hapo uliposema sijakufunga hata moja
Mbona haupoNakupa match 3 za mwisho nataka ulete ushaidii mwenyew na usipo leta ushahidii bc ctokupa chance ya ku play na mimi twende nakusubirii mtot akililia wembe mwache umkate
Naomba useme ukweriii bro[emoji419]Mbona haupo
Kama unafungwa na huyo jamaa automatically ushakosa kigezo cha kucheza na mimi, maana sitaki viande nikaambiwa nafanya ukatili pamoja na kushtakiwa na mahakama za kimataifaMbona haupo