Dream League Soccer Special Thread

Hapana kaka nime play match 3 hakuna hat match moj aliyo nibahatisha utasema mtandao bro
Mtag huyo jamaa hanahadhi ya kuwa jukwaa hili ananiabisha Master wa humu , ila Mimi kwa vile ndio Master wait nitalipa manyanyaso waliopata .

Nakuonya utajuta kujiunga JF utachange mpaka ID ukithubutu kuja katika anga zangu.
 
Mimi sio kwamba najuwa game sana ila respect muhimu kila mtu ana skills zake so tusi mdharaw yoyte[emoji419]
 
Mtag huyo jamaa hanahadhi ya kuwa jukwaa hili ananiabisha Master wa humu , ila Mimi kwa vile ndio Master wait nitalipa manyanyaso waliopata .

Nakuonya utajuta kujiunga JF utachange mpaka ID ukithubutu kuja katika anga zangu.
Acha maneno ukinifunga kuna vocha yako niambie unatumia mtandao ganii
 
Acha maneno ukinifunga kuna vocha yako niambie unatumia mtandao ganii
Ngoja saa 4 usiku mpk na dkk 10 panapo majaaliwa kuwa online tumalize ubishi.

Mimi kikosi changu cha division one kile cha wachezaji wa hovyo unachopewa unapojiunga mara ya kwanza kinatosha kukuadabisha.
 
Mtag huyo jamaa hanahadhi ya kuwa jukwaa hili ananiabisha Master wa humu , ila Mimi kwa vile ndio Master wait nitalipa manyanyaso waliopata .

Nakuonya utajuta kujiunga JF utachange mpaka ID ukithubutu kuja katika anga zangu.
Na useme unatumia ID ganiii dls ili nikujuwe na nilete ushahidii humu baada ya kipigo maan watoto kama nynyii ndo nawapendaa welcome [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Acha maneno ukinifunga kuna vocha yako niambie unatumia mtandao ganii
Ngoja saa 4 usiku mpk na dkk 10 panapo majaaliwa kuwa online tumalize ubishi.

Mimi kikosi changu cha division one kile cha wachezaji wa hovyo unachopewa unapojiunga mara ya kwanza kinatosha kukuadabisha.
 
Acha uongo wewe nimekukanda game mbili au unabisha [emoji16]
Nashukuru mwanafunzii wangu kwa kujitokeza maana nawapa dozii watu dls lkn maua yang hawanipiii twende kweny point nimekupiga match ngapiii ukitoa hizo 2 nilizo cheza chinii ya kiwango kwa kugundua ww ni regular
 
Nashukuru mwanafunzii wangu kwa kujitokeza maana nawapa dozii watu dls lkn maua yang hawanipiii twende kweny point nimekupiga match ngapiii ukitoa hizo 2 nilizo cheza chinii ya kiwango kwa kugundua ww ni regular
We jamaa ulivokua unakamia Hadi unarambwa nyekundu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji28]
Point yangu kubwa ni kupinga hapo uliposema sijakufunga hata moja
 
We jamaa ulivokua unakamia Hadi unarambwa nyekundu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji28]
Point yangu kubwa ni kupinga hapo uliposema sijakufunga hata moja
Nakupa match 3 za mwisho nataka ulete ushaidii mwenyew na usipo leta ushahidii bc ctokupa chance ya ku play na mimi twende nakusubirii mtot akililia wembe mwache umkate
 
Mbona haupo
Kama unafungwa na huyo jamaa automatically ushakosa kigezo cha kucheza na mimi, maana sitaki viande nikaambiwa nafanya ukatili pamoja na kushtakiwa na mahakama za kimataifa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…