Peleka Timu Preseason usije kutusumbua baadaeNYIE vibonde MPO [emoji41] au mmekufa
[emoji23][emoji23][emoji23] kwani ligi inaanza lini?
Nipo bingwa leta codeWw ndo huonekan bingwa
Kaka upo?Nipo bingwa leta code
Mnataka Lig[emoji23][emoji23][emoji23] kwani ligi inaanza lini?
Tuguse kak
CodeTuguse kak
wkpCode
Parching style ndo nn kak?King nipo liziko humu nimebanwa harakati nyingi ila nitarudi kusafisha huu uzi maana nahisi umevamiwa na Masters fake nataka nije kuendelea utawala wangu wa kutoa dozi by 'parching style' soon kwani wale wa kitambo humu wanaelewa hiyo style haiachi mtu salama.
Ulishawah mfunga MrJobless ?King nipo liziko humu nimebanwa harakati nyingi ila nitarudi kusafisha huu uzi maana nahisi umevamiwa na Masters fake nataka nije kuendelea utawala wangu wa kutoa dozi by 'parching style' soon kwani wale wa kitambo humu wanaelewa hiyo style haiachi mtu salama.
Tokea nikupige 4-0 sioni kama unatisha naona kucheza na wewe kama ni uonevu.I'M KING OF DLS🫅[emoji3406]
Fifa
Huyo jamaa ni mbishi sana ,sifa ya bingwa ni kutoa appreciation ukifungwa kubali na usijipe vyeo mpe aliyekuadabisha ,lakini jamaa anakandwa daily lakini haishi kujisifia.Kwa Misingi gan mbn nishakukataza kujipa haya Majina
Sent from my CPH2363 using JamiiForums mobile app
Vipi Fene umemkanda tayari ?We Kwa ss siwez kusema km ni Kibonde ndy Mtu pekee uliweza kunifunga Humu ndan mpk ss
Sent from my CPH2363 using JamiiForums mobile app