Dream League Soccer Special Thread

Dream League Soccer Special Thread

King nipo liziko humu nimebanwa harakati nyingi ila nitarudi kusafisha huu uzi maana nahisi umevamiwa na Masters fake nataka nije kuendelea utawala wangu wa kutoa dozi by 'parching style' soon kwani wale wa kitambo humu wanaelewa hiyo style haiachi mtu salama.
 
King nipo liziko humu nimebanwa harakati nyingi ila nitarudi kusafisha huu uzi maana nahisi umevamiwa na Masters fake nataka nije kuendelea utawala wangu wa kutoa dozi by 'parching style' soon kwani wale wa kitambo humu wanaelewa hiyo style haiachi mtu salama.
Parching style ndo nn kak?
 
King nipo liziko humu nimebanwa harakati nyingi ila nitarudi kusafisha huu uzi maana nahisi umevamiwa na Masters fake nataka nije kuendelea utawala wangu wa kutoa dozi by 'parching style' soon kwani wale wa kitambo humu wanaelewa hiyo style haiachi mtu salama.
Ulishawah mfunga MrJobless ?
 
Parching style ndo nn kak?
Niite Master upate maelekezo ,hiyo ndio style iliyomzalilisha Fene kipindi cha nyuma sasa naifufua rasmi ikiwa na improved features hiyo hatosalamika mtu hata nipewe kikosi cha ndondo cup.
 
Back
Top Bottom