Dream League Soccer Special Thread

Sawa umenifunga 4-1 lakini mbona umekimbia mechi moja tu bila kutoa nafasi ya kujitetea na mimi ? mimi kawaida yangu huwa nafungwa mechi ya kwanza coz natumia kusoma mbinu za mpinzani haitokeagi nishinde baada ya hapo ni ni vichapo tu.
Kuna ktu nlkua nafanya baada ya pale, vp upo?
 
Nahis we ndy ulinisihi kabsa kuwa nisitunze Siri ili kumbukumbu iwepo?! Haya Matokeo yako yametoka
 
Nakubali wewe gemu kipaji huyo mido yako Beradi ni moto na nusu.
Yaeh Berrardi ni Forward na Miongoni mwa wachezaj naowapenda mbal nakuwa na Rates ndg lkn sometimes nikifanya Sub Yey au Son Moja wao anarud kuwa Middle
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…