Mkuu kunywa soda popote ulipo ,humu sio pa kutunziana siriweka risiti humu ili mtu akikataa iwe kumbukumbu..
Sasa
Fene how dare you to call yourself a Master while you are being humiliated so disgracefully by foreigner like this ?
Nimeumizwa sana kuona umepata aibu kama hii kufungwa mechi 4 vipigo vya aibu ,lakini Master wako nakuja kulipa kisasi kama nikichofanya kwa
Singasinga ambaye haujawahi kumfunga sasa huyu
MrJobless inatakiwa atambua ameingia kwenye 18 za Nyambisi ngoja ajilete nimuadabishe..