Dream League Soccer Special Thread

Dream League Soccer Special Thread

Mkuu kunywa soda popote ulipo ,humu sio pa kutunziana siriweka risiti humu ili mtu akikataa iwe kumbukumbu..

Sasa Fene how dare you to call yourself a Master while you are being humiliated so disgracefully by foreigner like this ?

Nimeumizwa sana kuona umepata aibu kama hii kufungwa mechi 4 vipigo vya aibu ,lakini Master wako nakuja kulipa kisasi kama nikichofanya kwa Singasinga ambaye haujawahi kumfunga sasa huyu MrJobless inatakiwa atambua ameingia kwenye 18 za Nyambisi ngoja ajilete nimuadabishe..
Leo ndy napitia Hz text toka Juz nilikuwa Maeneo Jana ndy nimegeuka so Leo tupo available
 
Mbona unekimbia mapema ?
Screenshot_20230808-102359.png
 
Huju jamaa Fene mweupe kabisa hana mbinu mpira wake anakwenda anakwenda halafu ana kikosi full mziki wote nyota bila hivyo angekuwa levo za King fake wa DLS.
Kuwa na Black Zote sio tatzo km kiwango huna mbn Mi nipo na Yellow Cards lkn mziki wake Fene anaujua vzr
 
Kaka twende tena?
Sawa umenifunga 4-1 lakini mbona umekimbia mechi moja tu bila kutoa nafasi ya kujitetea na mimi ? mimi kawaida yangu huwa nafungwa mechi ya kwanza coz natumia kusoma mbinu za mpinzani haitokeagi nishinde baada ya hapo ni ni vichapo tu.
 
Sawa umenifunga 4-1 lakini mbona umekimbia mechi moja tu bila kutoa nafasi ya kujitetea na mimi ? mimi kawaida yangu huwa nafungwa mechi ya kwanza coz natumia kusoma mbinu za mpinzani haitokeagi nishinde baada ya hapo ni ni vichapo tu.
Lete code
 
Sawa umenifunga 4-1 lakini mbona umekimbia mechi moja tu bila kutoa nafasi ya kujitetea na mimi ? mimi kawaida yangu huwa nafungwa mechi ya kwanza coz natumia kusoma mbinu za mpinzani haitokeagi nishinde baada ya hapo ni ni vichapo tu.
Ati nini[emoji23][emoji23][emoji23]

4-1

Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom