Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KakaMwenye kauwezo kdg alete code
jbsMwenye kauwezo kdg alete code
Leo usiku nitakuwepo, kama utakuwa na wasaa itapendeza tukipute
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] mkuu unaikumbuka post yako wiki iliyopita??? Mi nililalamikia Hilo swala ukapinga ukasema mchezaji hodari haogopi kitu ni kucheza Tu ???Vijana punguzenii ku hack una cheza na jitu wachezajii wote wamejaa coin kama zote anawa jaza sio ujanja huo tumia uwezo wako binafsii ndo maana najiita King of dls nna maan yangu wengii humu ma hack kwa hii post mnajijuwa[emoji419][emoji419][emoji419][emoji419]
Huwez kuhack hili game, cheza na train players wako kwa makocha, acha makasiriko kjana, hujui game kaa kimya usiongee sbb zisizo na msingiVijana punguzenii ku hack una cheza na jitu wachezajii wote wamejaa coin kama zote anawa jaza sio ujanja huo tumia uwezo wako binafsii ndo maana najiita King of dls nna maan yangu wengii humu ma hack kwa hii post mnajijuwa[emoji419][emoji419][emoji419][emoji419]
Huwez kuhack hil game , utafungiwa ID[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] mkuu unaikumbuka post yako wiki iliyopita??? Mi nililalamikia Hilo swala ukapinga ukasema mchezaji hodari haogopi kitu ni kucheza Tu ???
Ukweli mchungu ni kua huwezi shindana na timu iliyobustiwa utapigwa nyingi Sana... Otherwise ukutane na kibonde au wewe uwe na uwezo mkubwa yaani "exceptional" hivi hivi lazima ujute...
Naona yamekukutaaaa kuta kuta
Mkuu tukipute mida ya saa 4Huwez kuhack hili game, cheza na train players wako kwa makocha, acha makasiriko kjana, hujui game kaa kimya usiongee sbb zisizo na msingi
Saa4 na dkk ngap
🥲tusamehe tumekosa sanaaMaster nimerudi ,nasemaje mtanyooka kuanzia sasa..
Najua huwezi kuhaki Ila point yangu ilikua kuhusu wachezaji walibustiwa... Jamaa alinipinga Sana sasa naona analia tena na tatizo lilelileHuwez kuhack hil game , utafungiwa ID
Lete codeNajua huwezi kuhaki Ila point yangu ilikua kuhusu wachezaji walibustiwa... Jamaa alinipinga Sana sasa naona analia tena na tatizo lilelile
Kuna kubustiwa na kutrainiwa kaka, hvo vtu vya tofautiNajua huwezi kuhaki Ila point yangu ilikua kuhusu wachezaji walibustiwa... Jamaa alinipinga Sana sasa naona analia tena na tatizo lilelile
dlsLete code
[emoji23][emoji23][emoji23]Master nimerudi ,nasemaje mtanyooka kuanzia sasa..
Ukirejea nichekKuna kubustiwa na kutrainiwa kaka, hvo vtu vya tofauti