Huyu mje mnipe nicheze naeHakuna asiyejua humu kuwa Innovator ni moja Kati ya viande wa chini kuwahi kutojea katika jukwaa hili ,sio ajabu kiande kumsifu kiande mwenzake maana ndege wanaofanana huruka pamoja .Ingekuwa singasinga ,eng na wengine walio katika peak umewafunga na wameAcknowledge uwezo wako hapo sawa.
Kwa kuhitimisha wewe ni Master wa viande fungal mabingwa ndio ujiite Master.
Mmmmmmmmmmh vp lkn hyo Siku Moja yenyew ulishindaYani nyi viande kwa kupeana moyo
Haya Mr adriz kiande mwenzako kakuambia utafika mbali[emoji23][emoji23][emoji23]
Na wew Mr Jobless kuonesha hamna kitu ushaanza kuleta takwimu za uongo hapa, tumecheza siku 1 tu, baada ya hapo unanikimbia tu
Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
Nimefurahi sana kuona kiande adriz na kibonde mwenzako Mr Jobless mmeungana kushindana na masterHuyo adriz kuna Sehem nitampitisha atakuwa Moto sn
Maana Vijana niliowapitisha Mi ni wabaya sn huko kwny Mgrp ya DLS
Kaka upo freeNimefurahi sana kuona kiande adriz na kibonde mwenzako Mr Jobless mmeungana kushindana na master
Niwaambie tu hata mkija wote wawil ni vipondo tu
Na ninachofahamu kuanzia sasa nikimbonda adriz najua nimekubonda wew Mr Jobless maana ni mwanafunz wako anatumia tactics zako
Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ongeeni mkubaliane ni nani master alf mtanishtua nije[emoji41]
DLS 23 Na hauwezi cheza la nyuma kwa sababu linakulazimisha update game. Ukiona unacheza nje ya haya maelezo basi ujue ni mod apk hyo.Mnacheza la mwaka gani sahivi
Mwaka utakaokuwa mchezaji mzuri nitakuambia[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Dah [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mwaka utakaokuwa mchezaji mzuri nitakuambia
Kaka tuguse games tatuMwaka utakaokuwa mchezaji mzuri nitakuambia
[emoji23]upo kaka[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Inabid Leo uje ili Kwa pmj mkubaliane kuwa Mi ndy master kweny huu uziOngeeni mkubaliane ni nani master alf mtanishtua nije[emoji41]
Acha maneno mengi na kukimbia kimbia taja wazi muda ,siku na mechi mtakazo cheza iwe battle Kati yako na MrJobless tuone nani atakaye ibuka mshindi.Nimefurahi sana kuona kiande adriz na kibonde mwenzako Mr Jobless mmeungana kushindana na master
Niwaambie tu hata mkija wote wawil ni vipondo tu
Na ninachofahamu kuanzia sasa nikimbonda adriz najua nimekubonda wew Mr Jobless maana ni mwanafunz wako anatumia tactics zako
Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
Kijana hv unauwezo wa kunifunga we kwel au unajisemea tuNimefurahi sana kuona kiande adriz na kibonde mwenzako Mr Jobless mmeungana kushindana na master
Niwaambie tu hata mkija wote wawil ni vipondo tu
Na ninachofahamu kuanzia sasa nikimbonda adriz najua nimekubonda wew Mr Jobless maana ni mwanafunz wako anatumia tactics zako
Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
Siku za ya kwanza ulinipiga nyingi kibahati mara ya pili ukaona mziki umeponea chuchupu ushindi wa goli moja ,sasa nimeshakujulia nasikitika kutangaza mwisho wako wa utawala leo tupige mechi 5 tuone nani ataibuka bingwa .Inabid Leo uje ili Kwa pmj mkubaliane kuwa Mi ndy master kweny huu uzi
[emoji23][emoji23]ulichokisema umekisoma lknInabid Leo uje ili Kwa pmj mkubaliane kuwa Mi ndy master kweny huu uzi