Huyo niachie Mimi utamuua [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Chagua Kwanza nikufunge ngap
Mi si namwambia lkn kisa nilikuwa namuonea huruma Kaona tunawezanaHuyo niachie Mimi utamuua [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nililifuta simu yangu iliharibika screen ikawa hairuhusu kucheza na wakati nyingine ninayoitegemea nimeshaiuza ,ila leo nimeitengeneza iko swafi nataka nitege sehemu ya Wi-Fi nidownload maana kwa Mb zangu pangu pakavu itakuwa uongo Kudowload now.adriz leta code nikutwangafule
We tu Mi nipo available na kweny huu Uzi natakiwa nipewe heshima yng Maana nafunga nyote humu.
Siku ukidow load naomba uje nikupe twisheni Kwanza [emoji28][emoji2957]
Baad ya Wiki mbili ntakutafut wew maan nmekuona Unaongea sana humu,Soon nitarudi kutoa vipondo kama kawaida yangu maana mimi ndio mbabe wa humu ,Fene hasahau kilichompata siku za mwishoni.
Wew na mwenzko adriz Nikishanunua simu mpya Jtatu inayosupport Dls 23 itabd niwatafute niwafundishe Total Football ipoje,Siku ukidow load naomba uje nikupe twisheni Kwanza [emoji28][emoji2957]
Alf mkuu hebu Nitumie screenshot ya kikosi chako Pm ili nijue kabs Najiandaa kucheza na kikosi cha namna gani.Mkuu kiwango kimepanda panda au unatutafuta lawama... Naona Hujakoma sio??? [emoji16][emoji16][emoji16][emoji1787]
Poa Ila nakuonea Sana hurumaAlf mkuu hebu Nitumie screenshot ya kikosi chako Pm ili nijue kabs Najiandaa kucheza na kikosi cha namna gani.
utakuja Toa Ushuhuda hapaPoa Ila nakuonea Sana huruma
Hakuna kuhack ukijaribu wakikubaini akaunti Yako inafungwa unakuwa hauwezi kutumia DLS.Hivi hili dls 2023 mnalihack vipi wakuu?
Mimi bado kuna hela naisikilizia ninunue simu kali niweke na DLS kabisa ,simu niliyonayo inasapoti ila sipo comfortable nayo kucheza DLS .Kwa kukadiria panapo majaaliwa niturudi mwezi ujao kutembeza dozi pale nilipoishia .Baad ya Wiki mbili ntakutafut wew maan nmekuona Unaongea sana humu,
saiv simu yang imezngua ila jtatu nanunua mpya Napanga kikosi vzuri alf Utaniambia mwenyew Nikufunge ngapi Sawa ?
Mimi ndio Master humu hata nifungwe kitambaa machoni na nipewe kikosi dhaifu kabisa sitofungwa na yeyote humu ukimtoa MrJobless na nikirudi ramsi nakuja kumaliza utawale wake halafu niombe moderators kwa heshima heading ya uzi isomeke "MASTER ADRIZ DLS SPECIAL THREAD"Wew na mwenzko adriz Nikishanunua simu mpya Jtatu inayosupport Dls 23 itabd niwatafute niwafundishe Total Football ipoje,
Nitawapigia pira hilo Yani mpa simu yako itachemka kwa Kuchanganyikiwa
Hakuna kitu kama hiiHakuna kuhack ukijaribu wakikubaini akaunti Yako inafungwa unakuwa hauwezi kutumia DLS.