Mda wangu wa kulala sasa tusubiri siku nyingine.Twendeee kazi leta code
Watakupasua Relax
Utapigika kama Ngoma 😅
Kwny saa 12 Jioni nikiwa free au saa 4 uck nitakuitaji maana unatafuta 7b ya kukimbia huu Uzi?
Huyu jamaa adriz analipenda sana hili game lakini ndohivo hajui, hebu naomba tuungane tumfundishe wanadlsYule kiande adriz aliekuwa akipiga kelele sana hapa kwamba akirud tutakoma, si nikasema ngoja nikatest huku nikiwa na wasiwasi mkubwa sana
Aisee yani ni zaid ya mlevi nimemponda hovyohovyo
Risiti zake nitaziwasilisha hapa kesho asubuhi na mapema, wacha nipumzike sasa
Cc;@Wakipekee Frustration Introver , MrJobless
KUMEKUCHA sheikh leta risiti [emoji23]Yule kiande adriz aliekuwa akipiga kelele sana hapa kwamba akirud tutakoma, si nikasema ngoja nikatest huku nikiwa na wasiwasi mkubwa sana
Aisee yani ni zaid ya mlevi nimemponda hovyohovyo
Risiti zake nitaziwasilisha hapa kesho asubuhi na mapema, wacha nipumzike sasa
Cc;@Wakipekee Frustration Introver , MrJobless
Hahhhh leta code nimlipie madeni [emoji1787]adriz bado una safari ndefu sana kuja kujua dls, yani pira bovu, huna passing accuracy, huna techniques za kushambulia na za ku-defense
Unabutuabutua tu mipira alafu utarajie uje ujue dls, bora tu ucheze skoban au gemu la kukata matunda[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]View attachment 2814152
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimefanya Cancellation ya Friend Match niliyotaka nicheze nae huyu adrizHuyu jamaa adriz analipenda sana hili game lakini ndohivo hajui, hebu naomba tuungane tumfundishe wanadlsView attachment 2814150