Cytochrome p450
JF-Expert Member
- Mar 19, 2019
- 5,638
- 15,044
Duh! unasikitisha sana lakini ndio kawaida ya viande hiyo Mimi sishangai ,eti umeniponda hovyo ? mechi tano Mimi nimeshinda tatu wewe umeshinda mbili ndio ushindi wa kutamba kiasi hiko ?Yule kiande adriz aliekuwa akipiga kelele sana hapa kwamba akirud tutakoma, si nikasema ngoja nikatest huku nikiwa na wasiwasi mkubwa sana
Aisee yani ni zaid ya mlevi nimemponda hovyohovyo
Risiti zake nitaziwasilisha hapa kesho asubuhi na mapema, wacha nipumzike sasa
Cc;@Wakipekee Frustration Introver , MrJobless
Jamaa alivyokuwa Kiande haleti matokeo ya jumla analeta nusu nusu kwa kuupamba ushindi wake wa papatupapatu ?KUMEKUCHA sheikh leta risiti [emoji23]
Bora ukimbie kuliko kupata aibu mapema maana Mimi yeyote atakaye jitokeza nasambaratisha jana ilikuwa ufunguzi Tu na nimezidiwa kidogo sana na mbinu zangu zinabadilika kutokana na opponent.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimefanya Cancellation ya Friend Match niliyotaka nicheze nae huyu adriz
Wewe naweza kucheza na wewe kwa mkono mmoja huku nimefunga kitambaa machoni na nitakuoiga nyingi pamoja na hayo.Hizi tambo za humu zote zitaisha mkikutana na wanajeshi wangu wa TALIBAN.
Anaetaka kuubusu moto afanye kurusha code maana nina hamu ya kumkaanga mtu time hii..
Wewe si ndo ma file yako yamerushwa asubuhi? 😀Wewe naweza kucheza na wewe kwa mkono mmoja huku nimefunga kitambaa machoni na nitakuoiga nyingi pamoja na hayo.
Walter wanajeshi wako waje wapate aibu kuelelea mwisho wa mwaka.
Ss km Fene Kibonde kakuchakaza hivi kwel ndy unataka uvamie Kwa watu wenye viwango Vyetu mbn unatutafutia LawamaBora ukimbie kuliko kupata aibu mapema maana Mimi yeyote atakaye jitokeza nasambaratisha jana ilikuwa ufunguzi Tu na nimezidiwa kidogo sana na mbinu zangu zinabadilika kutokana na opponent.
Naomba Jion ya Leo muwepo ili nipige woteHizi tambo za humu zote zitaisha mkikutana na wanajeshi wangu wa TALIBAN.
Anaetaka kuubusu moto afanye kurusha code maana nina hamu ya kumkaanga mtu time hii..
Ndy maana Mi nafungaga match zote ili hiz tambo mkose [emoji23][emoji23][emoji23] sio we sio Yeye hakuna aliewai kunifunga maana najua tambo zenuJamaa alivyokuwa Kiande haleti matokeo ya jumla analeta nusu nusu kwa kuupamba ushindi wake wa papatupapatu ?
Naomba umuulize Fene jana mlichezq mechi ngapi na Master na kati ya hizo alifungwa na kushinda ngapi ?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wewe si ndo ma file yako yamerushwa asubuhi? [emoji3]
Sichezi na underdogs mkuu, jifue kwanza uingie kwenye kundi la ushindani.
Hakuna bingwa asiyefungwa ilikuwa mistake katika mechi 5 akashinda tatu Mimi 2 ,hapo inaashiria kashinda ushindi wa papatupapatu..Wewe si ndo ma file yako yamerushwa asubuhi? 😀
Sichezi na underdogs mkuu, jifue kwanza uingie kwenye kundi la ushindani.
Nipo Mi hapa na anaebisha Aje na Code yakeHakuna bingwa asiyefungwa ilikuwa mistake katika mechi 5 akashinda tatu Mimi 2 ,hapo inaashiria kashinda ushindi wa papatupapatu..
Mimi humu nina profile kubwa mpaka nikawa Master mkuu humu wewe haujawahi kucheza na mkali wa humu hata mmoja halafu unaongea shit.
Kama unajiamini panga muda nije kukudhalilisha humu..
Weka twendeNipo Mi hapa na anaebisha Aje na Code yake
17BT Kwanza nijue n game ngapiWeka twende
Mbili17BT Kwanza nijue n game ngapi
Searching17BT Kwanza nijue n game ngapi
Unaquit nn na unaona muda wote nachezea Bar 1Searching