Panga wewe nikipasue bandamaPanga muda nikuaibishe kila siku unanikimbia kuogopa aibu..
Saa 4:30 usiku leoPanga wewe nikipasue bandama
Nipo na team 2 hiyo naanda wachezaj wa Arsenal tupu ndy Kikos nitachokuwa natumia kile Kingine nitakifanyia maboreshoOi umeanzisha timu mpya? Sema we jamaa unatisha mi kuna game nilipiga pass kinoma Ila niliishia 92 [emoji16]
Kwann uwezHuu mpira siwezi[emoji2]
Siamini kwenye possessionKwann uwez
Mkuu huwa mnafanyaje kuweza kucheza na mtu mwingine online naomba nielekeze jinsi ya kusetPanga muda nikuaibishe kila siku unanikimbia kuogopa aibu..
Sio possession Tu na kichapo cha maanaSiamini kwenye possession
Wewe Kiande njoo now usinikimbie nimekubamba sasaSio possession Tu na kichapo cha maana
Nenda live chagua friendly then utaona sehemu ya kuweka code... Mtaweka code mkipigeMkuu huwa mnafanyaje kuweza kucheza na mtu mwingine online naomba nielekeze jinsi ya kuset
kuna dogo hapa kibaruan tumejaribu sana tumeshindwa
Subiri nimkande @Wakipee kisha nikupe muongozoMkuu huwa mnafanyaje kuweza kucheza na mtu mwingine online naomba nielekeze jinsi ya kuset
kuna dogo hapa kibaruan tumejaribu sana tumeshindwa
Nipo kwenye daladala nipe dakika 25 ntakua nimeshuka usinikimbieWewe Kiande njoo now usinikimbie nimekubamba sasa
Hauna mamlaka ya kuchangia chochote katika Uzi huu ,boresha kiwango chako kwanza..Masikitiko viande mnafarijiana
Cc;@adriz Wakipekee
Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
Dah utadhalilika KakaSubiri nimkande @Wakipee kisha nikupe muongozo
Hapo basi mpk Night tena kama hautoogopa.Nipo kwenye daladala nipe dakika 25 ntakua nimeshuka usinikimbie
Night napokaa hamna network njo sahiviHapo basi mpk Night tena kama hautoogopa.
ADR chukua Code hiyoHapo basi mpk Night tena kama hautoogopa.
😃😃😃Sawaa me nitapaki busSio possession Tu na kichapo cha maana