Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23]Hauna mamlaka ya kuchangia chochote katika Uzi huu ,boresha kiwango chako kwanza..
Unaamin kweny nnSiamini kwenye possession
Mpe maelekezo maana napiga Pass na tabu lzm haioneSio possession Tu na kichapo cha maana
[emoji23][emoji23][emoji23] lkn sasa hiv UnabondwaTuliubonda sana kwenye miaka ya mwanzo mwanzo ya smartphones RF
Kumsumbua mpinzani wangu japo me kiande😃Unaamin kweny nn
Leo vipi Mr Kiande ?[emoji23][emoji23][emoji23]
Usichokijua kilichofanya unifunge siku ile kuna vitu nilikuwa natest kwa kiande wangu ndio maana
Leo usiku tukipute alaf uje usimulie hapa
Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
Yah , kwa sababu sina mpinzani humu na wananiogopa.Naona unatamba
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Fene huu uzi kwake umekuwa mchungu sasa anapita kama hauoni ,mpira wake mbovu ,kiwango chake kibovu na matokeo yake mabovu sana..
Upo tupige[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
No comment more than "enjoy your temporary"
Nisipokuachia mim utamfunga nani humu? Sema wew mwenyew
Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
Njoo tukiwashe mzeeUpo tupige
Code 4433Njoo tukiwashe mzee
Kama upo online njo nikufundishe sokaCode 4433
Wa ngap wanakuogopaYah , kwa sababu sina mpinzani humu na wananiogopa.
Wote humu.Wa ngap wanakuogopa
Kwa kichapo unachopata daily sijui unatoa wapi ujasiri wa kuzungumza ,sasa hivi ukitaka mechi tena na Mimi njoo na barua ya kuthibitisha kuwa umeboresha kiwango chako.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
No comment more than "enjoy your temporary"
Nisipokuachia mim utamfunga nani humu? Sema wew mwenyew
Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app