Frustration
JF-Expert Member
- Jan 30, 2018
- 3,134
- 4,124
- Thread starter
-
- #361
Ipo siku utakuja kufungwaBando langu la mwezi limekata njiani sasa nipo utawala wa Freebasic natamani siku niplay na mwana Jf humu ila kila nikiwa tayari watu hawapo tayari.
Mimi Master Dream enzi zangu ilikuwa kufungwa mwiko ila sasa nafungwa mara moja moja haswa online league na events .Ipo siku utakuja kufungwa
Nimedownload linaandika hivi,msaada pleaseOffline kwa game ya kirafiki tu exhibition match. Ila online la hii ni tofauti na zingine mfano hili ukiingia tu zima data na cheza ila game ikiisha washa data na liki load tu unazima tena data unacheza. Data unatumia kidogo mfano mm nilikuwa ba mb 10 tu na nilicheza siku tano na mb zilibaki.
Update OS yakoNimedownload linaandika hivi,msaada pleaseView attachment 2288203
Nimedownload linaandika hivi,msaada please
Sina uhakika ikiwa aki update litakaaUpdate OS yako
Nimedownload linaandika hivi,msaada pleaseView attachment 2288203
Leo nitakuwa poa kama utakuwa na mda utasema saa ngapiMtu yeyote aliye tayari tukiwashe leo ,mimi nipo gado anytime.
Saa 3 usikuLeo nitakuwa poa kama utakuwa na mda utasema saa ngapi
Poa nitakukumbushaSaa 3 usiku
Muda umetunza vizuri?Saa 3 usiku
Nipo live tena nimekuja hapa 3 kamili bila kuchelewa like nikupe codeMuda umetunza vizuri?
Nipo online karibia 1hr tokea 3kamili mpaka 4 haupo ,naona umekimbia mechi leo.Muda umetunza vizuri?
Nipo online karibia 1hr tokea 3kamili mpaka 4 haupo ,naona umekimbia mechi leokuna
Poa haina mbaya ,siku yeyote ukiipata nafasi utanicheki.Sorry kuna sehemu nilienda
umefanyaje kupata hao wachezaji mzee[emoji15][emoji15]Kwa anayetaka battle kuanzia saa 3 usiku leo anitag tupimane ubavuView attachment 2283438
Unaingia sokoni mchawi mpunga wa kutosha na ili upate inatakiwa uongeze ukubwa wa uwanja zikija options za kuwatch video unwatch ili coins ziongekeze.umefanyaje kupata hao wachezaji mzee[emoji15][emoji15]
Bando langu la mwezi limekata njiani sasa nipo utawala wa Freebasic natamani siku niplay na mwana Jf humu ila kila nikiwa tayari watu hawapo tayari.