Dream League Soccer Special Thread

Wewe si ulisema weekend niku challenge 🤓, mbona uli kimbia🤣
Kwanza umepata bahati kukubalia kucheza na Mimi Moja kwa Moja bila kupita katika mchujo wa kucheza na Master wa viande Fene na wengineo humu maana Mimi sitaki kuonekana naonea mtu ndio maana lazima nijiridhishe kiwango chake kabla ya kuplay .
 
Kwanza umepata bahati kukubalia kucheza na Mimi Moja kwa Moja bila kupita katika mchujo wa kucheza na Master wa viande Fene na wengineo humu maana Mimi sitaki kuonekana naonea mtu ndio maana lazima nijiridhishe kiwango chake kabla ya kuplay .
Aisee wewe lazima upasuke meno🤓
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…