Brother let's have a challenge, natangaza challenge kesho kwa yoyote.adriz matokeo haya ya kikatili umeyataka mwenyewe na lidomodomo lako hilo, wape tahadhari na wenzakoView attachment 2719483
Bro kesho Niko free, aise nisi laumiwe😆🤓Hamna mtu online ukiwa ok nijuze nikufundishe ball
Oya kesho nime kwambia ni pm namba, nakucheki ufe kamba za kutosha😆🤓Ajitokeze yeyote nimkande now.
Brother na challenge yoyote kwa siku ya kesho.
Aisee una tamba Sana, bro kesho tuki washe mapemaKilichomkuta leo Fene aibu naona mimi kuweka screenshot ,sasa wewe rasmi ni kiandae wa humu .
Wewe si ulisema weekend niku challenge 🤓, mbona uli kimbia🤣Ukifika katika Uzi huu tambua Mimi ndio Master wao Fene na viande wenzake wamenimbia J4 panapo majaalowa tukiwashe..
Kwanza umepata bahati kukubalia kucheza na Mimi Moja kwa Moja bila kupita katika mchujo wa kucheza na Master wa viande Fene na wengineo humu maana Mimi sitaki kuonekana naonea mtu ndio maana lazima nijiridhishe kiwango chake kabla ya kuplay .Wewe si ulisema weekend niku challenge 🤓, mbona uli kimbia🤣
Aisee wewe lazima upasuke meno🤓Kwanza umepata bahati kukubalia kucheza na Mimi Moja kwa Moja bila kupita katika mchujo wa kucheza na Master wa viande Fene na wengineo humu maana Mimi sitaki kuonekana naonea mtu ndio maana lazima nijiridhishe kiwango chake kabla ya kuplay .
Dah una sumbua sana🤣🤓Leo nimekanda jitu huyu ni mwana Jf yupo humu ila namtunzia siri sitaki kumtaja. Master naendeleza kutoa dozi kuhakikisha hakuna anakuja kutamba humu.View attachment 2926525
Leo nimekanda jitu huyu ni mwana Jf yupo humu ila namtunzia siri sitaki kumtaja embu bwana Selikavu njoo mbele 😃😃😃Leo nimekanda jitu huyu ni mwana Jf yupo humu ila namtunzia siri sitaki kumtaja. Master naendeleza kutoa dozi kuhakikisha hakuna anakuja kutamba humu.View attachment 2926525
Raha ya game kutamba...Leo nimekanda jitu huyu ni mwana Jf yupo humu ila namtunzia siri sitaki kumtaja. Master naendeleza kutoa dozi kuhakikisha hakuna anakuja kutamba humu.View attachment 2926525
Kiande siku hizi nimepoa, umepata pumzi sasa za kuonea viandeLeo nimekanda jitu huyu ni mwana Jf yupo humu ila namtunzia siri sitaki kumtaja. Master naendeleza kutoa dozi kuhakikisha hakuna anakuja kutamba humu.View attachment 2926525
Usikimbie Kiande Master maana mpk sasa mara ya mechi tatu zamwisho tulizokutana haujapata ushindi .Kiande siku hizi nimepoa, umepata pumzi sasa za kuonea viande
Utakuwa na wasaa leo tukipute?Usikimbie Kiande Master maana mpk sasa mara ya mechi tatu zamwisho tulizokutana haujapata ushindi .
Leta code mkuu tukajifunze...Master mishale fulani nipo free nataka nisambaze dozi ya uhakika humu
Una bahati sina MB maana Mimi furaha yangu mi kujipigia kiande kama wewe ambaye mbishi unajikuta mjuaji.Utakuwa na wasaa leo tukipute?