MrJobless
JF-Expert Member
- Jan 20, 2023
- 1,091
- 1,342
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo ni Kibonde wa Mwisho humuHii ni screenshot ya Jana usiku, nilikubonda kama mwendawazimu[emoji23][emoji23]View attachment 2896847
Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
Jifunze game uache kujielezea hiviTatizo lako unakosa uadilifu hauwi mkweli ndio maana wana hawakuamini ,Mimi hata nikifungwa nakuwa mkweli sina longolongo that's Maturity as Master ..
Weka kabisa gemu ngapi zimechezwa na matokeo ya kila mechi sio unachagua yanayofavour upande wako . Game zote wakati sare ilikuwepo na moja ya mwisho kama sikosei ndani ya dkk 20 za mwanzo ushakula chuma mbili na amechi inakuhelemea ilibidi kama ndogo upigwe 6 upande wako ikaonyeshwa umeQuit kumbe Simu ilipigwa.
Umemsahau hiyo ilikuwa mechi ya kwanza kama sikosei mechi nyingine zote umepata ushindi wa papatupapatu na mfumo huo mpya nishakuWin maana ndio umekufanha tuende mpk extra time mechi mbili mfululizo huku moja ukinusurika kupigwa wiki au 6 ?
Cheza Kwanza na hao watt wadg kabla ujaja huku Kweny Top RankingNipo muda huu,nani yupo online
Muda wowote ukiwa location Safi niite niendeleze Dozi halafu kabla ya mechi inatakiwa ukiri humu kuwa haitokuwa na kisingizio chochote hapo ndipo nitakubali tuplay.Eeeeht naogopa mech Yan Kibonde km we ndy nikuogope mbn ipo wazi zaman nilikuwa Mwanza na nilifunga wote Humu alinifunga alikuwa Eng ibird tu ss hv nipo Moro ndan ndan mtandao wa Shida ndy maana nimetulia hata WhatsApp hakuna Lig nayoshiriki
[emoji23][emoji23] Ebu tufanye hiv Anza Kwanza kuongea Ukwel? We Kwa record za Humu Unaweza kujishindanisha na Mi kweli.Muda wowote ukiwa location Safi niite niendeleze Dozi halafu kabla ya mechi inatakiwa ukiri humu kuwa haitokuwa na kisingizio chochote hapo ndipo nitakubali tuplay.
Shida yenu ndy hii Kwanza muanze kutoa Acknowledge Kwa Tunalokijua Game ndy uje useme huo Upuuz wako km nilifunga wote Humu nikiwa na Yellow Cards only mtasema nn tena niwaeleweKweli kabisa mimi sijui kucheza isipokuwa nachojua ninkutoa Dozi Tu ,ndio maana jina langu jipya la timu yangu nimeandika "Mzee wa Dozi" ukikaa kwenye anga zangu sina hadithi mbili zaidi ya Dozi Tu.
Cc : Fene
Ukinifunga siku ya kwanza goli nilikuwa nasoma mchezo wako wako ,mara ya pili nikaQuit mtandao ukawa shida sikuendelea mpk mwisho gemu karibia zote , na siku ya tatu ukala kichapo ukasingizia net wakati hakuQuit na mechi zote tulicheza mwanzo mwisho.[emoji23][emoji23] Ebu tufanye hiv Anza Kwanza kuongea Ukwel? We Kwa record za Humu Unaweza kujishindanisha na Mi kweli.
Kijana Mi Simu yng haina tatzo la kuquit hata mtu akipiga Simu nishakuambia now nipo Moro ndan ndan huku net Shida na Ndy Ushind wako wa mech 1 tu uliutolea hapo lkn we huna Uwezo wa kunifunga hicho ndy Ukwel na Kila Mtu anajua ilo kuwa we uwezi kunifungaUkinifunga siku ya kwanza goli nilikuwa nasoma mchezo wako wako ,mara ya pili nikaQuit mtandao ukawa shida sikuendelea mpk mwisho gemu karibia zote , na siku ya tatu ukala kichapo ukasingizia net wakati hakuQuit na mechi zote tulicheza mwanzo mwisho.
Mimi mtu nikishamsoma basi tena hawwzi kunifunga kizembe mfano wewe hapo nimekusoma soka lako ni "Centric maandazi" formula za kukukaba ninazo ambazo niliweka last day hivyo ukija tena kwangu unakuwa sawa na kiande (Fene ) Tu.
We kiande unapata wapi nguvu ya kuongea upupu wote huu wakati siku ya mwisho nimekukalisha na hilohilo jina lako "Mzee wa dozi"Ukinifunga siku ya kwanza goli nilikuwa nasoma mchezo wako wako ,mara ya pili nikaQuit mtandao ukawa shida sikuendelea mpk mwisho gemu karibia zote , na siku ya tatu ukala kichapo ukasingizia net wakati hakuQuit na mechi zote tulicheza mwanzo mwisho.
Mimi mtu nikishamsoma basi tena hawwzi kunifunga kizembe mfano wewe hapo nimekusoma soka lako ni "Centric maandazi" formula za kukukaba ninazo ambazo niliweka last day hivyo ukija tena kwangu unakuwa sawa na kiande (Fene ) Tu.
Mimi ndio master of tactics humu, adriz ukiacha unafki unaweza lithibitisha hili humu kwa wanasokaUkinifunga siku ya kwanza goli nilikuwa nasoma mchezo wako wako ,mara ya pili nikaQuit mtandao ukawa shida sikuendelea mpk mwisho gemu karibia zote , na siku ya tatu ukala kichapo ukasingizia net wakati hakuQuit na mechi zote tulicheza mwanzo mwisho.
Mimi mtu nikishamsoma basi tena hawwzi kunifunga kizembe mfano wewe hapo nimekusoma soka lako ni "Centric maandazi" formula za kukukaba ninazo ambazo niliweka last day hivyo ukija tena kwangu unakuwa sawa na kiande (Fene ) Tu.
Mkuu usitumie nguvu kubwa humu kila mtu najua kiwango chake we n next level NI vile watakaza Tu fuvu...
Hahhhh leta code nikukandeHawa ni baadhi ya wanajeshi wangu, na mfumo huu ndio niliutumia kwa mara ya mwisho kumkanda adriz View attachment 2900641
Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
Upo?lete codeMtandao shida now njoo mida ya saa 5 tukiwashe
Mimi nina wacgezaji wa kawaida sio maroboti na hutoboiHawa ni baadhi ya wanajeshi wangu, na mfumo huu ndio niliutumia kwa mara ya mwisho kumkanda adriz View attachment 2900641
Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
Ushindi wa Kimangoto 3-2 wakati Mimi nilikupa heavy package.Hawa ni baadhi ya wanajeshi wangu, na mfumo huu ndio niliutumia kwa mara ya mwisho kumkanda adriz View attachment 2900641
Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app